Huna hoja unaingiza visubtopic visivyoeleweka.kwa huo muonekana utatoka na wazee anakula kimoja BP inapanda kazee kakifia kifuani unakuja kutuletea matatizo.
option ya pili ni serengeti boy. viserengeti boy sikuizi havina maadili vitaishia kukufumua marinda buree.
option ya tatu kaa nyumbani utulie, uzae na kulea watoto
Sasa tunacheza muziki walioupiga wanakasirika tena!! Khaaah!! Hawa viumbe bwana!
Jibu mubashara kabisa naona anataka kupindishapindisha mstari.Huna hoja unaingiza visubtopic visivyoeleweka.
Ujumbe ni huu: Ukigongwa lazima ugongewe!
.
.
Nimemalizana na wewe!
Aiseeeee! Bado tu hii risala inaendelea?
Huna hoja unaingiza visubtopic visivyoeleweka.
Ujumbe ni huu: Ukigongwa lazima ugongewe!
.
.
Nimemalizana na wewe!
Basi Mremboo! Inatosha sasa.They need to be MAN ENOUGH.
Waki beep, na sisi tukijibu, waseme hallow, wasijibaraguze wala kuchukia.
Jibu mubashara kabisa naona anataka kupindishapindisha mstari.
Mama Mchungaji mahubiri yenu nimeyazingatia kikamilifu Ujue!
Mkuu hawa Wabeijing wanapeana shift kabisa.mkuu hawa wenzetu wamechachamaa kweli, kila ukizunguka hawa hapa
Haha eti waseme hallowThey need to be MAN ENOUGH.
Waki beep, na sisi tukijibu, waseme hallow, wasijibaraguze wala kuchukia.
Hii thread inakimbia balaa.... khaaaaNdio maana nasema wadada jamani tusikimbilie kuolewa kabla hatujajipanga jamani kwa karne ya sasa kutegemea mwanaume kwa kila kitu ilikua zamani tusiwe tegemezi .... Ukiwa na cha kujishikisha anakuzingua unajiondokea unapanga unaanza maisha yako vizuri tuuu bila kusumbuliwa na mtu anayeitwa mwanaume
Unaolewa una miaka 20 ili iweje?
Khahahahahahahahahah.... Majanga ....Wanaume tukiwagundua wanachepuka tuwachome moto haraka sana.
Asante 100% its true!andjul Mkuu nakubaliana na wewe kwa 100%, Mimi muda mrefu nilishakiri Uponyaji Kupitia "ubatizo wa Moto" kuwekwa kati na Hawa Wabeijing sio jambo jepesi ukaendelea kushupaza shingoI have my testimony kwenye haya Mambo. Mimi kupitia hawa Wabeijing Humu nimejifunza an huwa najifunza sana sana tabia zao an sio siri nakuwa reshaped katika life aspects nyingi tu.
Tuache Ubishi usio na ulazima sio siri tunachangia kwa asilimia nyingi tu kutengeneza tabia mbaya kwa wenzi wetu.
Kumbe wataka kuoa kwa style gani?Ndo maana SITAKI KUOA HIVI HIVI
ubinafsiHatupendi hii tabia,mwanaume ndio anaruhusiwa kua na wanawake zaidi ya mmoja