Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Not all women were born to be respected mothers,some were born to serve sexual addicted men wherever they are.
Labda kama ni wewe na ibilisi mliwaumba lakini Mungu hajaumba mtu kwa kusudi la kuburudisha mtu kwa uzinifu.

Na Chunga kauli zako.
 
Inawezekana ndio au sio. Chagua jibu sahihi.
Sasa jf inawatu wangapi utegemee wote wawe watakatifu? Humu kuna kila aina ya watu, malaya wa kike na wa kiume, mashoga wa kike na wa kiume, wachawi, wachungaji na mashehe, watoto vijana na wazee. Hakuna sampuli isiyokosekana!
sasa tunachobishana hapa haswa ni kipi?
 
Mimi ni bonge yangu utoto wangu sijawahi kukonda! Naupenda ubonge wangu kupita maelezo. Huo unga robo kilo niliokuwa napata kwa wazazi wangu ndio huo huo umenipa afya! Hata sasa nikirudi naridhika na maisha yanaenda.
.
.
Yaani wewe kama mkeo kafata chakula kwako ujue wote wawili mna matatizo.
.
.





unataka kuanza kutafuta huruma.


muwe mnajitahidi kuboresha mamboz kitandani hatutachepuka.

wanawake mnatufanya nyumba tunaiona jehanamu kama sio watoto mngejikuta mmeshapewa cheo cha usingle mama................
 
baada ya ndoto yako kuolewa kutimia na nyumbani mlikuwa mnakula kwa kale kamsemo cheza mbali ungarobo

umekuja kwa mume nyama kwa week mara tatu umekula bila mpangilio umekuwa bonge kiuno ata hakikatiki tena.

ata kama ni wewe ungekuwa mwanaume ungechepuka tuu.
Kodi tu mama analipa hiyo nyama unainunua na nini labda ukate nyama yako
 
Wewe umeamua tu uchepuke wala mumeo hajakusababishia kuchepuka! Kila la heri....
 
unataka kuanza kutafuta huruma.


muwe mnajitahidi kuboresha mamboz kitandani hatutachepuka.

wanawake mnatufanya nyumba tunaiona jehanamu kama sio watoto mngejikuta mmeshapewa cheo cha usingle mama................
Chepukeni tu ndugu tumeshazoa na kukubali. Mauno hayaji hivi hivi acheni kula chips na mpunguze vitambi. Mnachosha hata hamu ya kuzungusha kiuno sina bora niwe gogo nisiumize kiuno changu bure!
.
.
Nitakizungusha kwa atayenipa nyege.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Maadam umeamua kuchepuka basi nakushauri ujaribu na kumpa huyo mchepuko wako huko nyuma kuna utamu zaidi ya huo unaoujua. Mpe alainishe marinda
 
Chepukeni tu ndugu tumeshazoe na kukubali. Mauno hayaji hivi hivi acheni kula chips na mpunguze vitambi. Mnachosha hata hamu ya kuzungusha kiuno sina bora niwe gogo nisiumize kiuno changu bure!
.
.
Nitakizungusha kwa atayenipa nyege.



atakae kupa nyege akumbuke kukupa na hela ya salon na mafuta
 
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Kila la kheri, sijui nani atakuwa wa kwanza kumuambukiza mwenzake...
 
Back
Top Bottom