Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

unatuharibia watu huu uzi.., kupata haki sawa bado miaka 100000000

unaua familia za watu huu uzi. nyoooote mnaocoment humu ni mashahidi ni kwa namna gani mama alivyo nguzo kwenye familia, sijui kama mnazingatia nafasi ya mama katika familia na hata ilivyoelezwa katika vitabu vitakatifu vyenu mnavyotumia au mnashadadia tu?

hata kama siyo nyie mnaenda kufanya hivi, hakikisheni maandishi yenu hayapotezi mama za wengine.

Mnashindana na nature?
Hatupotoshi mtu. Hujatuelewa au hutaki kutuelewa!
 
unatuharibia watu huu uzi.., kupata haki sawa bado miaka 100000000

unaua familia za watu huu uzi. nyoooote mnaocoment humu ni mashahidi ni kwa namna gani mama alivyo nguzo kwenye familia, sijui kama mnazingatia nafasi ya mama katika familia na hata ilivyoelezwa katika vitabu vitakatifu vyenu mnavyotumia au mnashadadia tu?

hata kama siyo nyie mnaenda kufanya hivi, hakikisheni maandishi yenu hayapotezi mama za wengine.

Mnashindana na nature?
Hatupotoshi mtu. Hujatuelewa au hutaki kutuelewa..
.
.
Mama ni nguzo ya familia, baba ni kichwa. Kwa hiyo una maanisha kichwa bila nguzo haisimami?
.
.
Nilijua kichwa ndio kila kitu!
 
Mwanamke kama wewe ni kukuwekea mtego tu siku nakukamata utafungasha virago siku hiyohiyo urudi kwenu. Pumbavu sana.

mkuu nadhan hujawajua vizur wanawake wa siku hizi, hawarudi kwao wanapanga nyumba mtaa wa pili tu na kesho yake unamuona yupo macho makavu anaendelea na maisha kama kawaida,hiyo ya kumrudisha kwao hai apply sana siku hiz

N.B NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE, DHAMBI HUZAA DHAMBI MWISHO HULETA MAUTI
 
nyoooote mnaocoment humu ni mashahidi ni kwa namna gani mama alivyo nguzo kwenye familia, sijui kama mnazingatia nafasi ya mama katika familia na hata ilivyoelezwa katika vitabu vitakatifu vyenu mnavyotumia au mnashadadia tu?

hata kama siyo nyie mnaenda kufanya hivi, hakikisheni maandishi yenu hayapotezi mama za wengine.

Mnashindana na nature?

KORBOTO Nakubaliana na wewe kwa sehemu kubwa lakini lazima tuukiri Ukweli kuwa Wake zetu sio malaika ni wanadamu. Tunapowakosea na kuwapuuza puuza kuwa hakuna wanachoweza Fanya ina madhara sana.

Wake zetu wanahitaji zaidi ya financial support ili kuwanya wafurahie mahusiano. Naamini asilimia kubwa ya Wanawake wanacheat huwa sisi Wanaume ndio tumechangia kwa sehemu kubwa wao kufanya hivyo.

Hizi story za "vibamia" sijui vidudu ni mbwembwe na hasira zao kwetu tu hawa wanakojozwa hata na kidole cha mwishwo kile kidogo. Ila tubadilike jamani... Ooooh otherwise tutagongewa sana tu. Mimi humu kunanisaidia sana kuwaelewa wanawake yaani kila siku nakuwa bora zaidi ya Jana kwa my wife wangu.
 
A key that opens many locks is A Master key
A locker that can be opened by many keys is USELESS
 
KORBOTO Nakubaliana na wewe kwa sehemu kubwa lakini lazima tuukiri Ukweli kuwa Wake zetu sio malaika ni wanadamu. Tunapowakosea na kuwapuuza puuza kuwa hakuna wanachoweza Fanya ina madhara sana.

Wake zetu wanahitaji zaidi ya financial support ili kuwanya wafurahie mahusiano. Naamini asilimia kubwa ya Wanawake wanacheat huwa sisi Wanaume ndio tumechangia kwa sehemu kubwa wao kufanya hivyo.

Hizi story za "vibamia" sijui vidudu ni mbwembwe na hasira zao kwetu tu hawa wanakojozwa hata na kidole cha mwishwo kile kidogo. Ila tubadilike jamani... Ooooh otherwise tutagongewa sana tu. Mimi humu kunanisaidia sana kuwaelewa wanawake yaani kila siku nakuwa bora zaidi ya Jana kwa my wife wangu.
Daaah una heri. ....
 
Hatuleti ubishi nyie watu mmezidisha bana..
Ngoja Leo tuwaambie.
Sawa tuambieni tu ili tupone... Ila na nyie acheni kufikiri kuchepushwa ni suluhu ya matatizo yenu, haya umeona kidudu changu umeenda huko umevulishwa nguo kwa mbwembwe unakutana na jamaa anakiduchu zaidi ya kidudu. Sasa si utakuwa umezidi kujidhalilisha tuu?

Ni wachache sana wanapata comfort kwa 100% huko michepukoni zaidi ni kujiongezea matatizo tu na kurefusha orodha.
 
unatuharibia watu huu uzi.., kupata haki sawa bado miaka 100000000

unaua familia za watu huu uzi. nyoooote mnaocoment humu ni mashahidi ni kwa namna gani mama alivyo nguzo kwenye familia, sijui kama mnazingatia nafasi ya mama katika familia na hata ilivyoelezwa katika vitabu vitakatifu vyenu mnavyotumia au mnashadadia tu?

hata kama siyo nyie mnaenda kufanya hivi, hakikisheni maandishi yenu hayapotezi mama za wengine.

Mnashindana na nature?
Utakua ujaelewa Mkuu, binafsi sishadadii kilichofanywa na huyo dada na wala sipongezi ila nashangazwa na wanaume wanaomtolea huyo dada mapovu ikiwa akichepuka mwanaume mnafurahia.Mnatakiwa mkemee kwa jinsia zote kuwa uchepukaji si kitu kizuri.

Kwanza huyo dada mpaka kuchepuka aliesababisha ni mwanaume ila bado hilo ujaliona.

Yeye ameona hiyo ndiyo njia yake ya kumpunguzia machungu, Mkuu wanawake wa sasa si wa zamani mnatakiwa mjue ilo!!

Zamani mwanamke anateswa anavumilia ataenda wapi na watoto ikiwa hata kazi hana, ila siku hizi utamtesa nani akuvumilie ikiwa ana uwezo wa kuendesha maisha yake pasipo msaada wa mume.

Mume kwa mke wanatakiwa waheshimu ndoa, kama ukichepuka basi mkeo asijue na uwe na heshima. Ila sio mwanaume awe na dharau kama anazofanyiwa huyo then bado umlaumu huyo dada, acheni ubinafsi.
 
Sawa tuambieni tu ili tupone... Ila na nyie acheni kufikiri kuchepushwa ni suluhu ya matatizo yenu, haya umeona kidudu changu umeenda huko umevulishwa nguo kwa mbwembwe unakutana na jamaa anakiduchu zaidi ya kidudu. Sasa si utakuwa umezidi kujidhalilisha tuu?

Ni wachache sana wanapata comfort kwa 100% huko michepukoni zaidi ni kujiongezea matatizo tu na kurefusha orodha.
Ukinitreat ipasavyo tukapendana kisawasawa hicho kibamia chako nitakiona kama muhogo..
.
.
Nitalalamika unaniumiza!
 
mkuu nadhan hujawajua vizur wanawake wa siku hizi, hawarudi kwao wanapanga nyumba mtaa wa pili tu na kesho yake unamuona yupo macho makavu anaendelea na maisha kama kawaida,hiyo ya kumrudisha kwao hai apply sana siku hiz

N.B NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE, DHAMBI HUZAA DHAMBI MWISHO HULETA MAUTI
Atajua mwenyewe aende kwa kimada aende kwao hainihusu. Kwangu itakuwa ni marufuku.
 
Back
Top Bottom