Mbona wa mikoani ndio huja kununua vitu Dar?? Inakuwaje Dar kuwe na gharama kuliko mikoani?Mji wa dar ni mji wa gharama sana, atakaeshindwa aondoke tu.
Mtabaki hivyo hivyo mlivyo sie tunasonga mbele!Google? We hukumbuki dingi yako alikuwa na mchepuko ila mama akaona poa tu coz mi mwanaume ya kiafrika ndo tulivyo ila mama akihisiwa tu hiyo ndoa lazima ife
Kaazi kweli kweliHahahaaaa wazee wazamani usidhani walikuwa wanaishi mpaka wanafanana haya yalikuwa hayapo yalikuwepo, ila sasa hivi utandawazi tu mwanaume anaenda kuhemea kushoto mwanamke unaenda kupumuliwa kulia, mkikutana usiku mnageuziana migongo mkiamka asubuhi mnatoka vyumbani na nyuso za tabasamu, watoto wenyewe wanafurahiii baba na mama wanapendana, mkilala mkiamka mara miaka 3 ya ndoa, ukipindua miaka 10 , unajisemea niende wap bas mnaishi ila kila mmoja siri yake anavyoishi na mwezake.
Haha haki weweNilikwambia umeona? Hakutest before use. Ndo madhara yake hayo.
.
.
Poor girl ona amekutwa bikira na bado mume hamthamini.
.
.
Chepuka tu bidada, you have my support..usije ukafa kabla hujakunwa kisawasawa!
Sie hata mia tunawapenda tu, we have that genorous heart naturally ujue.
You see!!!!We Mwanamke weweee ooohooo noti tu zat eksitenti... Hebu tutajie hiyo sample size yako ya huo utafiti wako.
Wazee wetu walikuwa makini sana walipokuwa wanataka mkae home mletewe kila kitusasa nyakati hizi unakuta mke ana kaTGS Kakubwa kuliko mume... Aiseee kazi tunayo lazima mtudandie vichwani. Hilo povu sio la Tanzagiza hii.
Acha uchoyo.Mkuu, mfungo unakaribia. Hii post itakuwa inaharibu swaumu yetu. Hakyanani I can't imagine...., I just want her to be mine, nooooo sharing !!!
Yani leo ntalala nasmile aiseeHahah, I can't you. 😀
Nilikwambia umeona? Hakutest before use. Ndo madhara yake hayo.
.
.
Poor girl ona amekutwa bikira na bado mume hamthamini.
.
.
Chepuka tu bidada, you have my support..usije ukafa kabla hujakunwa kisawasawa!
Yani leo ntalala nasmile aisee
Yani haijawahi kutokeaHahaha!, asee hii inaitwa mwanamke akichokozwa.
Kwani mkeo ni dada yako? Mwili mmoja huo. Muache akorokochoe kila mahali, na maswali yake umjibu vizuri tu tena kwa adabu.Sio habari za kuchepuka mkuu, tunapunguziana pressure tu na maswali yasiyo na msingi.. Mimi wakati nakuwa hata kushika simu za dada zangu ilikuwa ni mwiko.. Na nikishika kule Gallery, Inbox, Sent Items nilikuwa hata sithubutu kufungua kama sijaruhusiwa..
Ahsante kwa ushauri bro tutazingatia 😀jamani mkitoka mkumbuke kutumia condom, au pimaneni kabisa , na hakikisheni hamkamatwi.
mi nimemaliza na hii mada.
hehehehehe mbona wewe nimekukubalia kirahisi tu, mimi kwangu inakuwa ngumu kukubaliwa.. hahahaLeo unamkana hata kabla jogoo kuwika!!
Nitafutie waziri wa viwanda soon nafungua kiwanda changu, nimebakiza cherehani moja tu.Mbona wa mikoani ndio huja kununua vitu Dar?? Inakuwaje Dar kuwe na gharama kuliko mikoani?
Labda kwa chakula tu, nako tofauti sio kubwa hivyo..
Cheki mnavyotoa povu kama vile hamchepukagi!!! Kumbe huwa inawauma????Mh, unadhani hapo ndo umetatua tatizo, damn shit!
Wakaoe bibi zao watupunguzie bugudha.You see!!!!
Wazee walikua wanaprovide kila kitu kwa wake zao, leo sasa mwanaume ukiombwa buku tu kudadeki hadi paka wa mtaa watajua
Thread zenu humu kila siku mnalalamika kuombwa hela hela zenyewe vijisenti, mnataka tuwe kama mama zetu bibi zetu wakati nyi hampo kama hao baba na babuu zetu
Una mpango gani kwani? Hebu useme vizuri, lile jibu lilikuwa na lengo ngani? Au unataka tuanze kukuombea?hehehehehe mbona wewe nimekukubalia kirahisi tu, mimi kwangu inakuwa ngumu kukubaliwa.. hahaha