Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Ni aibu sana mwanamke kuliko mwanamume kuchepuka, kwa sababu yoyote ile, MWANAMKE AKICHEPUKA NITAITA KUTELEZA ILA MWANAMKE AKIFANYA HIVYO ITAKUWA NI ANGUKO

Really? Ni aibu how? Nani anayeona hiyo aibu?
Mwanaume anapochepuka anachepuka na hiyo aibu unayoizungumzia. Yaani upo busy kumgegeda mwanamke ambaye mwisho wa siku unatambua kabisa aibu anapata yeye? Au huwa mnachepuka na viumbe gani labda?
 
Ni aibu sana mwanamke kuliko mwanamume kuchepuka, kwa sababu yoyote ile, MWANAMKE AKICHEPUKA NITAITA KUTELEZA ILA MWANAMKE AKIFANYA HIVYO ITAKUWA NI ANGUKO

Really? Ni aibu how? Nani anayeona hiyo aibu?
Mwanaume anapochepuka anachepuka na hiyo aibu unayoizungumzia. Yaani upo busy kumgegeda mwanamke ambaye mwisho wa siku unatambua kabisa aibu anapata yeye? Au huwa mnachepuka na viumbe gani labda?[/QUOTE]
Wanachepukaga na wanaume wenzao labda.
 
mheshimiwa, hawa wanawake wanaotetea hawana lolote isipokuwa wanataka tu kujustify ufuska.

naomba mnielewe pia kuwa sitetei mwanaume kuchepuka na kumtesa mkewe kwa namna yoyote ile.

tuache ideal situations tuje kwenye uhalisia sasa.

mwanamke huyu huyu akiwa na mwanaume fukara, atasema mwanaume suruali huyu, atachepuka kwa kigezo hicho hicho. Akiwa hana shida za kifinancial atachepuka kwa maneno anayoyasikia saloon, ati kuna mihogo sijui kuna kunyonywa sijui hivi na vile ili mradi tu, atajidai hajatoka kwao kushiba tu.

Haya kuchepuka kwa sababu za kulipiza is worst revenge ever, zipo namna za kumpin mtu aliyechepuka.., achana naye basi tuone umekasirika sana. unaiabisha familia yako kwa mambo ya kijinga namna hiyo.

ni ukweli usiopingika hata kwenye Biblia na Quran kuwa wanaume tuna aina flani ya mapungufu, kama hamtaki kukubali hili mwulizeni Mungu mwenyewe arudie kazi hii.

Haya mmesema mwanaume anahusika mke kuchepuka, je mke hawezi kuwa ndo sababu ya kuchepuka huko?

mbn msimsaidie mleta mada kwa kuweka mambo yao sawa, badala yake mnampongeza?


Sijui hata naandika nn, nahisi nimepanic....

Sijahangisheni kutafuta faraja ya kudumu siyo faraja feki...,

Ni aibu sana mwanamke kuliko mwanamume kuchepuka, kwa sababu yoyote ile, MWANAMKE AKICHEPUKA NITAITA KUTELEZA ILA MWANAMKE AKIFANYA HIVYO ITAKUWA NI ANGUKO
KORBOTO Mkuu nakuelewa sana.. Na ninakubaliana na hoja zako pia nadhani tunachokubaliana ni kwamba pande zote mbili huchangia hali Hiyo kutokea.

Naelewa pia kuwa hata wao kwa sehemu wamekuwa chanzo cha kuchepuka kwa wanaume.
 
Umeongea kwa uchungu sana. Pole!
Yaani hii mada imekuwa na mpambano kwa sababu moja tu.. wanaume wameanza kumponda walivyoona mke anataka kuchepuka...wakaongea as if mke hapaswi kuchepuka.
.
.
Tunashangaa why asiweze kuchepuka na yeye ni binadamu?
Why men kila siku mwenzao akitoa mada za kutendwa na mke majibu anayopata ni kama haya..
mtafutie mwenzake huyo atatulia, bro kwani wanawake wameisha?

Na wanaenda mbali kabisa kupeana mbinu za kuchepuka ili wasikamatwe. Huwa tunawaangalia tu hatutii neno. Mmeshajustify kuwa michepuko ni sehemu ya miili yenu..
.
.
Hatushabikii huyo dada kuchepuka la hasha! Ila akiona sawa na achepuke tu. Mbona ni kawaida? Tumeshazoea michepuko kutoka kwenu, wengine tunaishi tukijua kabisa mume ana mchepuko yaani mpk jina unaujua na mume hakuonei hata chembe ya huruma. Sasa kwa hali hiyo utaniambiaje mimi nizuie hisia zangu kwa wanaume wengine wanaonitamani au kunipenda?
unajua sijasoma id iloleta mada hii...

mkuu ww ndo ulochepuka au..,
 
umeuaaaa! Ila jamani mpaka unaolewa na mtu mwenye kibamia unakuwa umependa mwenyewe.
.
.
Always Shake Before Use!
Inawezekana ukawa na k kubwa ukaona mumeo ana kibamia.
 
nashukuru kuwa ww upo positive kdg.

naomba nikuhakikishie kuwa nimeelewa mada vzr.

Hapa tunaongea na mtu ambaye amechepuka baada ya mumewe kuchepuka/kumkwaza/kufilisika/kupoteza kazi/kuumwa/kupata udhaifu fulani.

narudia tena, anayempongeza huyu dada anashadadia asichokijua..., ni lini tumerekebisha kosa kwa kosa? kwamba hapa ndo mnasemaje sasa? kwamba kwanini mume alikosea? ndiyo amekosea, suluhu yake ipi? mwache basi ukaolewe na huyo unayetaka kuchepuka naye...

hata ukiulizwa mbn umefanya makosa? utajibu kwa sababu ww ulifanya?

hivi mpo kwenye akili zenu jamn?

Vitembezeni tu kwa sababu zenu msitafute kiki kwa kutusingizia
Ikiwa mke utachepuka sababu mume kafilisika/kaumwa/kaachishwa kazi/ huyo hafanyi vizuri hakuna kipindi kizuri cha kuonyesha upendo kama kipindi ambacho mwenza wako ana matatizo.

Mkuu narudia tena huyu dada kaona njia yake bora kupunguza maumivu ya kudharauliwa baada ya mume kupata mchepuko ni bora na yeye achepuke, hata tushauri vipi ni kitu alichoamua na yupo happy na hilo.

Labda ameona akiondoka atawanyima haki watoto wake ya kukaa na baba yao so akaona ni bora uamuzi achepuke.

Laiti mumewe angeomba msamaha sidhani kama yangefika huko, inabidi tuelemishe pande zote mbili athari za kuchepuka katika ndoa na sio kukemea upande mmoja na mmoja mnauchekea.

Napenda nikiri ni kweli akichepuka mke na mume anaedharaulika ni mke, huo ndiyo uhalisia.
 
Nyie mkichepuka huwa mnatusingizia, kwahiyo acha tu nasie tuwasingizie. Leo imepenyaaa hadi kwenye mifupa eeeh!!
em tuanze na terms zinazotumika.

NIMEKANYAGA KISHENZI
amekanyagwa kinoma
 
Duuuh... Wenye wake kazi tunayo..

Ila Mara nyingine sisi Wenyewe tumekuwa chanzo cha wake zetu kuliwa huko nje. Haya mambo haya acha tu.
Si wanaenda kupata ujuzi wakirudi wanawapa mambo adimuuu.
 
Back
Top Bottom