Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Haha na mbinu wanapeanaZikija mada za wanaume kuchepuka wanafurahi kweli kweli hadi kupeana mbinu za kuchepuka bila kukamatwa! Ndiyo wajue hizo mbinu wake zao majumbani nao wanazitumia
Haha na mbinu wanapeanaZikija mada za wanaume kuchepuka wanafurahi kweli kweli hadi kupeana mbinu za kuchepuka bila kukamatwa! Ndiyo wajue hizo mbinu wake zao majumbani nao wanazitumia
Hujawaona wake za watu wanafinyika maofisini na wengine wafanyabiashara? Wote tunaweka mkate mezani hatuna tofauti. Na bado majukumu yote ya nyumbani ni mke anafanya au kusimamia.Uctake kushindana na mwanaume, mbon me nafinyika nje huko kusaka mtonyo wee upog tu, unanisubir utaanzaje kujilinganisha na mwanaume, ata mngu mwenyewe anasema .Mwanaume ni msimamiz wa mwanamke
Huwa wanaitana na majina fulani ya kishindi n.k.WamesuuzwaZikija mada za wanaume kuchepuka wanafurahi kweli kweli hadi kupeana mbinu za kuchepuka bila kukamatwa! Ndiyo wajue hizo mbinu wake zao majumbani nao wanazitumia
Haya bwana, naona mnahalalisha kutoka nje ya ndoa zenu kiaina hapa. Mmechoka kuvumilia huku mkibaki mnalia na majonzi kila siku.Ha ha ha lia

Single touch, double manifestationHahaha!, huwa mnaanza na sisi hatunaga mengi tunamalizia tu, kiroho swafi.![]()
![]()
Hahaha!, huwa mnaanza na sisi hatunaga mengi tunamalizia tu, kiroho swafi.![]()
![]()
Nalendwa

Nyie Waremboo.. Msitufanyie hivyoTeh hatujaanza bado mbona
RRONDO mje tuokoe jahazi huku.. Hawa wabeijing wanaleta shida huku.Mwanamke akifinyika, pesa ake c itaishia saloon na vigaun , akinunua msos utasimangwa mpaka ushangae. tofauti c chin ya kiuno tu! Mbon tofauti nying tu wee una ndevu alafu kumbuka me namko**lea mwanamke kitu ambacho yee haweziHujawaona wake za watu wanafinyika maofisini na wengine wafanyabiashara? Wote tunaweka mkate mezani hatuna tofauti. Na bado majukumu yote ya nyumbani ni mke anafanya au kusimamia.
.
.
Nilichotofautiana na wewe ni hapo chini ya kiuno basi.
Kama mke najua wajibu wangu, ukitibua na hurekebishiki madhara ni makubwa. Wewe mwanaume ni kichwa cha familia..mienendo yako ndio inayomjenga mke bora!
Mungu akuepushe vipi nawe unaitafuta ? acheni kufuru.Mungu atuepushe,
Pesa ya nguo na salon ni wewe unayepaswa kutoa. Usipotoa basi hana namna zaidi ya kutumia za kwake.. na hapo ndipo kuchapiwa kunaelekea! Be responsible...uanaume kazi!Mwanamke akifinyika, pesa ake c itaishia saloon na vigaun , akinunua msos utasimangwa mpaka ushangae. tofauti c chin ya kiuno tu! Mbon tofauti nying tu wee una ndevu alafu kumbuka me namko**lea mwanamke kitu ambacho yee hawezi
Aaah naona sikumalizia comment yangu, Mungu awaepushie wote wasiohangaika. Wanaohangaika awape tu sawa sawa na hitaji lao ila wasiupeleke kwa their innocent partners. (Sema tu Mungu sio HS na tunaishi kwa neema)Mungu akuepushe vipi nawe unaitafuta ? acheni kufuru.
nyie leteni mashindano tu
leo nimejua jinsia yakoUmeona eeeh
Roho imewauma wanamtoleaje mapovu mleta uzi
Ndio maana mie napita tu hapa
Kwanini Ndugu KORBOTO?moods funga huu uzi![]()
Mmh.. Sala yako ifike na isikilizweAaah naona sikumalizia comment yangu, Mungu awaepushie wote wasiohangaika. Wanaohangaika awape tu sawa sawa na hitaji lao ila wasiupeleke kwa their innocent partners. (Sema tu Mungu sio HS na tunaishi kwa neema)
Hamna anayeshindana, ila mtu anaona atafute tu faraja kwingine

Teh hatujaanza bado mbona
unatuharibia watu huu uzi.., kupata haki sawa bado miaka 100000000Kwanini Ndugu KORBOTO?
Darasa huru.. Sawaaa na nyie mnawajibu wenu. Punguzeni ubishi.![]()
![]()
Watu ni vizuri waelewe kuwa kuna matokeo kwa kila jambo. Watu huwa hawakurupuki tu kufanya jambo, there's always a reason behind. Lakini hawa wenzetu sometimes misbehave for no reason. Mdada akichoka ndo yanakuwa haya.