Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,104
- 165,310
Angekua ni mwanaume, ungemuona rijali kwa kuchepuka kisa mwanamke povu, kunywa maji KakaMwanamke kama wewe ni kukuwekea mtego tu siku nakukamata utafungasha virago siku hiyohiyo urudi kwenu. Pumbavu sana.
Wasipoelewa basi tenaKweli kabisa ,ukiona mwanamke amechepuka ujue yamemfika,Mimi nilikuwa mwaminifu sana na ninampenda mno Mme Wang ila kila akitoka masomo yuko mkoa mwingne anaweza kaa miezi 3 hata 4 namvulia cku akirudi hana mda anakwambia nmechoka ilifikia hatua akirud nalilia mapenz kutokana na ile hamu ya kumvumilia lkn hakujali hisia zangu ,yan Mimi ndo nashida ya mapenz yeye wala nilivulia sana sababu nilikuwa na hofu na mungu na upendo nilionao kwa Mume ilifikia mda nikachoka,nikaamua kuwa na mchepuko kiukwel hata simu zake niliona kero akipiga,akisema kakata ticket anarud nikamjibu hata usiporud in shot nilikuwa najikuta namjibu ovyo siku alipoingia ndan ndo kwanza sins hata habar nae na mgongo nikampa kitu ambacho alikiona kigen kazoea akirud nalilia dudu ndo nipewe kwa kutoa machoz nilimjibu nko vizr hivyo apumzike, kiukwel nilinogewa nje na aliniambia nmebadilika nikamjibu kwa jeuri umenibadilisha wewe,alikir makosa sababu alijua mkewe hayuko ivo na toka hapo hakuweza nisumbua aliongeza mapenz na upendo na ndo alizid nipagawisha zaid, kwa kuwa ckupenda kuchepuka na amejutia kosa nikaongea na mchepuko narud kwa ndoa yng na mpaka Leo nko vzr na ndoa yang,niseme tu wanaume sio wote mnajisahau sasa ukiona make nae haelewek ndo unastuka jaribun kurud kwa mstar ,hii inafanya weng wenu kulea watoto wasio WA kwenu kwa mambo km hayo
Gelofriend ha ha hilo swali lako ni la kiwango cha necta ha ha ha kwamba michepuko yao inashindana na naniwala hatushindani na mtu, tunafanya tu wenyewe kwa starehe zetu. Afu wanawake mnaochepuka nao nyie wanashindana na nani kwani?
Wanaota hawa. Hiyo miaka yote nakaa namsubiri arudi, yeye nani?
Wala haitakuwa na haja ya kumfungashia viroba. Siku hizi mtu anachapa lapa anaacha kila kitu hata chupi habebi. baada ya mwezi maisha yamemnyookea maradufu. Viroba vya nini tena!!Angekua ni mwanaume, ungemuona rijali kwa kuchepuka kisa mwanamke povu, kunywa maji Kaka
Huyo mke wa leo hii unaemfungashia viroba ni mkoma au????
Sana. Cases zipo nyingi. bibi zetu na mama zetu wamevumilia mengi.
Halafu nashangaa wanavyosema tuwaige mama zetu...wawajui tu kuwa mama zetu wameshajitambua...hawakubali tena binti zao wateseke kiboyaboya!
Haha basi mnifanye tu kuwa Ndalichako jrGelofriend ha ha hilo swali lako ni la kiwango cha necta ha ha ha kwamba michepuko yao inashindana na nani
Pale mwanamke anapochoka teh... Usiombe mwanamke akichokaMume alimwaga mboga, mke katoboa hadi sufuria na mkaa kaumwagia maji
Haha bora BAK atupeleke break kidogo.Pole mwanamke anapochoka teh... Usiombe mwanamke akichoka
BAK naomba utupe dedikesheni ya R. Kelly WHEN A WOMAN LOVE, SHE LOVES FOR REAL...
Ha ha ha yaani wanaume wa JF wakisoma hivyo basi wanatamani kupasuka kwa hasiraHahaa Yani hapo anajiona mwepesiiiii, hasira zitatoka wapi?
Ukiagiza soda hulali. Mimi nakunywa wine nakoroma vizuri tutaonana ukirudi!
Na akiona mambo yapo level anarudisha "kidudu chake"Wala haitakuwa na haja ya kumfungashia viroba. Siku hizi mtu anachapa lapa anaacha kila kitu hata chupi habebi. baada ya mwezi maisha yamemnyookea maradufu. Viroba vya nini tena!!
Teh basi ndo tunawafanyiaje makusudi na sisi. Wamenuna hao leoHa ha ha yaani wanaume wa JF wakisoma hivyo basi wanatamani kupasuka kwa hasira
Huyu dada leo kawaweza.
Hahaa Yani hapo anajiona mwepesiiiii, hasira zitatoka wapi?
Wasione tupo kimya wakajiona washindiPale mwanamke anapochoka teh... Usiombe mwanamke akichoka
BAK naomba utupe dedikesheni ya R. Kelly WHEN A WOMAN LOVE, SHE LOVES FOR REAL...
Haha shoga ana mbwembwe naye, hakujua kama ni kidudu beforeNa akiona mambo yapo level anarudisha "kidudu chake"
Heaven Sent leo nmepata voca mpya lol kidudu
wala hatushindani na mtu, tunafanya tu wenyewe kwa starehe zetu. Afu wanawake mnaochepuka nao nyie wanashindana na nani kwani?