Nakushauri usitembee kwenye mavumbi.
nilijua mtu anakuchafua na anakwambia ulambe koni harafu umeze na maziwa
Mkuu jaribu kutembea umetawanya miguu!
nunua gari
Usipite kwenye vumbi...nunua kipando!
Acha kutembea kama bata ..... Namaanisha usiburuze miguu
tembea na toilet pepa
Habari Mabibi na Mabwana. Mu hali gani?
Naomba nilete uzi huu kwenu. Jamani sijui nina matatizo gani...nikitembea umbali kidogo najikuta miguu imechafuka vumbi, viatu usiseme, suruali duuuh. Jamani nifanyeje hali hii! Nataka kuwa smart. Hata nikinyata vp vumbi haliniachi. Help please. Si mzaha..!
Duh! Hao waliokuwa wanakuomba uoe dada zao naona hawakujui vizuri!!!!
tembea na toilet pepa
nunua gari
Tena siku si nyingitunakoelekea,ipo
siku,mtu
atakuja
kuomba,ushauri
kwamba
anaskia
usingizi.
Huyu indie mtaalamu lugha tunaemtaka hongeraHabari Mabibi na Mabwana. Mu hali gani?
Naomba nilete uzi huu kwenu. Jamani sijui nina matatizo gani...nikitembea umbali kidogo najikuta miguu imechafuka vumbi, viatu usiseme, suruali duuuh. Jamani nifanyeje hali hii! Nataka kuwa smart. Hata nikinyata vp vumbi haliniachi. Help please. Si mzaha..!
Nadhani ni wakati muafaka umefika uanze kutembelea makalio, achana na TZ 11