Kuchafuka

Kuchafuka

Tatizo ni namna unavyotembea au una ulemavu fulani wa miguu

Hebu niambie viatu vyako vinaishaje?????????
 
habari mabibi na mabwana. Mu hali gani?

Naomba nilete uzi huu kwenu. Jamani sijui nina matatizo gani...nikitembea umbali kidogo najikuta miguu imechafuka vumbi, viatu usiseme, suruali duuuh. Jamani nifanyeje hali hii! Nataka kuwa smart. Hata nikinyata vp vumbi haliniachi. Help please. Si mzaha..!
kwani? Wewe boy? Au binti? Mimi naona kama unatafuta mene mla mavi hivii!!!!!!
 
... kaa ndani usitoke nje... au nunua BMW X6...au hamia kwa Cameroon....
 
daaaa pole uwe unapaa basi :flypig::flypig:
 
Inanipa tabu kidogo kuamini mtu na akili zako unaandika thread kama hii kuomba ushauri.

Au mkuu ulikua unataka kumalizia bundle yako ya MB50? Usije ukaona inaenda bure na muda umeisha.
 
Habari Mabibi na Mabwana. Mu hali gani?

Naomba nilete uzi huu kwenu. Jamani sijui nina matatizo gani...nikitembea umbali kidogo najikuta miguu imechafuka vumbi, viatu usiseme, suruali duuuh. Jamani nifanyeje hali hii! Nataka kuwa smart. Hata nikinyata vp vumbi haliniachi. Help please. Si mzaha..!
Fanya moja ya yafuatayo..
1. Tembea kwenye lami tuu
2. Usitoke home, kaka hapo hapo tuu.
3. Nunua gari na usipaki kwenye vumbi...


 
inanipa tabu kidogo kuamini mtu na akili zako unaandika thread kama hii kuomba ushauri.

Au mkuu ulikua unataka kumalizia bundle yako ya mb50? Usije ukaona inaenda bure na muda umeisha.

kweli kabisa mkuu
 
Habari Mabibi na Mabwana. Mu hali gani?

Naomba nilete uzi huu kwenu. Jamani sijui nina matatizo gani...nikitembea umbali kidogo najikuta miguu imechafuka vumbi, viatu usiseme, suruali duuuh. Jamani nifanyeje hali hii! Nataka kuwa smart. Hata nikinyata vp vumbi haliniachi. Help please. Si mzaha..!

Nunua gari ya kutembelea
 
Kanunue vitz au opa alafu ipige sports rim then utembee na ------ nakuhakikishia hautachafuka sharo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom