kublock no ya simu

kublock no ya simu

Aisee nami naomba msaada huo,yangu ni samsung galaxy note ii

tena samsung ndo simple sana mkuu inazo options kibao za ku reject numbers za watu wasumbufu,,....wakipiga tu cm wanaambiwa ur no is bussy
 
kumbe umeni-block? maana siku hizi nikikubip haiendi.......
samahani sana wote ninaowabip....mwenzenu nimefulia kwa muda, mambo yakiwa sawa nitakuwa nawapigia, tuvumiliane...
whaaat fixed point? ngoja nijibadili nijiite variable point
 
tena samsung ndo simple sana mkuu inazo options kibao za ku reject numbers za watu wasumbufu,,....wakipiga tu cm wanaambiwa ur no is bussy
mwaga procedure basi mkuu...kuna walugaluga wanazingua sijui ndo wamenunua simu
 
kumbe umeni-block? maana siku hizi nikikubip haiendi.......
samahani sana wote ninaowabip....mwenzenu nimefulia kwa muda, mambo yakiwa sawa nitakuwa nawapigia, tuvumiliane...

tukutane skype tu lol

kuna mtu kanambia "kama unanipenda mblock Fixed Point" lol.
 
Last edited by a moderator:
tukutane skype tu lol

kuna mtu kanambia "kama unanipenda mblock Fixed Point" lol.
hata mimi nilihisi hivyo rafiki....
angejua mimi sina menoooooo........
mbaya wake anamwangalia tu ananisingizia mimi.....
basi kama vipi wewe ndo uwe unanipigia
 
Sasa mkuu nipe hayo maujanja ni apply kwenye cm yangu

kwa sumsung nenda kwenye meseji kama hiyo namba imekutumia meseji ifungue halafu chagua kipengele kinasema block by address ............ nitarudi kukupa namna ya kublock simu.
 
kumbe umeni-block? maana siku hizi nikikubip haiendi.......
samahani sana wote ninaowabip....mwenzenu nimefulia kwa muda, mambo yakiwa sawa nitakuwa nawapigia, tuvumiliane...

Sikujua kama ni wewe,nyambafu!!! Hadi juzi my wife wangu akajua ni baamedi ananibip bip kila saa.
 
Sasa mkuu nipe hayo maujanja ni apply kwenye cm yangu

kuhusu simu zinazoingia , kama hiyo namba ipo kwenye dialed list , au missed call ,au received list ichague hiyo namba halafu left click kwenye option ,chagua add to reject list au block by address .... hapo unakuwa umemaliza kazi mkuu.
 
dawa yake zima simu kabisa..... au tupa laini ununue nyingine.
 
mwaga procedure basi mkuu...kuna walugaluga wanazingua sijui ndo wamenunua simu

Nenda play store, download "calls blacklist" zipo za aina nyingi tu, zinablock mpaka msg pia ina option ya kuwa unazisoma na kwa upande wa calls atakua hakupati hewani kabisa ila we utapata alert kuwa alikutafuta ukipenda.
Pia unaweza block namba zote zilizopo kwenye 4n book yko.
 
Msaada na hapa jamani kwa simu ya nokia x2-01 jinsi ya kumblock mtu
 
I thought Play Stote ipo kwa ajili ya apps za Android OS tu...

Nenda play store, download "calls blacklist" zipo za aina nyingi tu, zinablock mpaka msg pia ina option ya kuwa unazisoma na kwa upande wa calls atakua hakupati hewani kabisa ila we utapata alert kuwa alikutafuta ukipenda.
Pia unaweza block namba zote zilizopo kwenye 4n book yko.
 
Back
Top Bottom