Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,384
- 11,268
Mkuu rombo kuna kitu hujakimalizia katika hiyo Modem yako kwani ni kweli kabisa simu zinazoingia au hata kupiga huwa namba inaonekana lakini kama ulisave majina baada ya kukata yanarudi majinaaiseeeeee babayangu kwa sayansi yetu ndogo ya kutengeneza mbege ukiweka line kwenye modem mtu akikupigia aioneshi ila anayekupigia atasikia inaita lakini akituma sms ndio utaiona
Fungua Tools juu kabisa ya desktop ya Huawei
-Option
-Calls
-Visual prompt on incoming calls (hapo kuna kisanduku weka V (tik)
-OK umemaliza
Naona itasaidia
-Calls
-Visual prompt on incoming calls (hapo kuna kisanduku weka V (tik)
-OK umemaliza
Naona itasaidia
Last edited by a moderator: