Chadema 2030
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,916
- 3,747
Kam wwHiv mwanaume kamili unawezaje ekeza ela yako kwenye kamari kama sio upumbavu. fuga kuku,mbuzi,nguruwe,ngombe ama mfany biashara.maana mkamaria n mtu mpumbavu mshenz asiyejieelewa.
Yeye ni nani?Kam ww
Soma maelekez yake ya mwishoYeye ni nani?
wanadai eti inachangamsha akili na kuchochea nguvu za ya kutafuta pesa zaidiHiv mwanaume kamili unawezaje ekeza ela yako kwenye kamari kama sio upumbavu. fuga kuku,mbuzi,nguruwe,ngombe ama mfany biashara.maana mkamaria n mtu mpumbavu mshenz asiyejieelewa.
diktetamaana mkamaria n mtu mpumbavu mshenz asiyejieelewa.
Kila sekta itafikiwa kwa wakati wake.huku tena ni wakamaria😄😄 kudadeki hii wiki itakua ya moto sana
Lakini ikawa ndivyo sivyokuna siku niliweka 30000 kwenye odd 2 nikasema hii nikipigwa sibeti tena maisha yangu yote
yani ni hatari,, naomba sekta yangu isifikiwe tu maana moyo wa kuvumilia maneno sina kwa kweli😄😄😄Kila sekta itafikiwa kwa wakati wake.