Kuna tetesi Kwamba Saed Kubenea wa mwanahalisi yupo London kwa matibabu na hali yake ni ya wasiwasi.
Inasemekana amelazwa katika hospital moja inayojulikana kama ni The Royal London Hospital huko London.
Mwenye taarifa zaidi atupe tujue maendeleo ya Mpiganaji wetu
Inasemekana amelazwa katika hospital moja inayojulikana kama ni The Royal London Hospital huko London.
Mwenye taarifa zaidi atupe tujue maendeleo ya Mpiganaji wetu