swissme
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 13,662
- 19,880
Kubenea anasambaza SMS za kutaka wakazi wa Ubungo tumchague kuwa Mbunge wa Jimbo hilo, labda nimwambie Kubenea laiti kama angeendelea na msimamo wake wa awali wa kupamabana na mafisadi na gazeti tungemchagua lakini kitendo cha cha kuabadilika na kukaa meza meza moja na mafisadi hapo ndipo ulipokosea
Labda nikwambie jambo moja usioteze muda na gharama za kutuma SMS kwa kuwa Ubungo hatukuchagui tumechoka na wataka umaarufu kama Mnyika mwisho wa siku tunaoumi wana ubungo. Kabla kugombea jimbo hili ungemuuliza Mnyika kwanini kakimbia ubungo Kubenea umekosea njia kwa bora ungeendelea na program zako za kugombea kwenu mafia lkn ubungo umekosea tena umebugi men.
hiloo linaona aibu.
swissme