Kubenea na siasa za Kyela

Status
Not open for further replies.
Ogah,

..

hakuna anayekataza mwandishi kumchunguza mwanasiasa na huko kugundua scandals zilizojificha na kuzianika. Lakini sio sahihi kusema umemkuta Ogah anaiba kuku, huku unajua kabisa hujamwona Ogah popote hata akiiba kitumbua.

Linganisha kilichoandikwa hapo juu, na kile kilichoandikwa hapa

Mtanzania said:
....................Kumbe ndio maana watu wengine mnamwagiwa tindikali shauri ya kuandika majungu ambayo hayana ukweli hata mdogo. Ni taaluma gani hizo za kutumiwa na wanasiasa kuandika kila wanalotapika?

Yaani Kubenea alimwagiwa Tindikali kwa vile (shauri ya) ka(u)andika majungu? Hii ni kali toka kwa timu Mwakalinga.
 
Ogah,


Nimetumia jina langu ili kila mtu awe una uhakika 100% kwamba alieandika ni Mwakalinga mwenyewe..

.

- Saafi sana na Bravo Mkulu, angalau hii sasa inapunguza unwanted attention na kuanza ku-deal na the real things uso kwa uso, na again ninashukuru sana kwamba umechukua time kuweka sawa ishus nyingi zinapotakiwa. Na nyongeza kidogo tu ni kwamba ukiwa bongo, kuna mtu hapa alileta habari nyingi ambazo hazikuwa na ukweli kama nilivyokuwa nikiwasiliana na wewe kila siku ya Mungu na mimi na Wakulu Invisible, Steve D, na Sikonge tukajitahidi sana kujaribu kuziweka habari zinapotakiwa, mpaka ulipopata nafasi ya kurudi tukakuachia mwenyewe.

- Katika hii article nimeshitushwa sana na habari ya Mwakipesile kugombea, na pia habari nyingi ndani yake ambazo siamini kwamba zina ukweli ndani yake, unless Ndugu yangu Kubenea aje hapa aweke sawa, otherwise inaweza kumshushia sana heshima na taifa na hasa hapa JF, ambapo ni muhimu zaidi kwake na shughuli zake za uandishi. Kwa hiyo kwa mara nyingine tena ninamuomba Kubenea aje aweke sawa ukweli wa habari katika article yake!

- Kuhusu huu uchaguzi wa Kyela, kwakweli inatia moyo sana kuona wagombea makini mkijitokeza tena bila uoga, niliwahi kuambiwa kwamba kuna wengine wengi watajitokeza karibuni, I mean wakati tunaendelea kusubiri, bado tunazidi kuchambua facts ili kufikia mahali pa kuamua nani anafaa over wengine, ingawa sio siri kwamba huu utakuwa uchaguzi wa the ages!

Again Mkulu Mwakalinga, thanks for coming as you are believe imepunguza makelele mengi sana yasiyo na umuhimu, aliyekupa huu ushauri ni lazima umshikilie sana maana anajua vitu vingi sana huyo! Tanzania tuna lack sana mapolitical strategists kama huyo uliyenaye!

Respect.

FMEs!
 
Kubenea's cardinal sin, as a journalist, was not giving Mwakalinga's take of things before the article was published. He should have contacted Mwakalinga, read him the contents and ask for his reaction. That is called balance. It is lacking and making the whole article look like a hatchet job.
 
Ogah,

Ni rahisi sana ukiwa pembeni kuandika kama ulivyoandika. Lakini kwa mtu ambaye sasa miezi minne anatolewa kwenye magazeti ya nchi kwamba ni fisadi, kibaraka wa mtu, katuma vijana kuchoma mtu kisu, kamwagiwa mapesa na ujinga mwingine ambao hauna hata chembe ndogo ya ukweli. Hata watu ambao hawakujui wanaanza kuamini kwamba wewe ni mwizi. Inafika sehemu unasema enough is enough, siasa za jino kwa jino nazo zinafanywa na binadamu. Fuata sheria na maadili ya kazi yako, hakuna atakayekugusa. Ni maadili gani ya uandishi wa habari hao tunaowajadili hapa wanafuata?

Mkuu nimejifunza, Nipashe waliandika mambo ya hovyo hivyo hivyo. Msamalia mmoja wa JF hapa akaniunganisha na mhariri wao na nikaamua kuwa muungwana. Nikampigia simu kumwambia habari mliyoandika haina ukweli kabisa, chunguzeni. Kesho yake ndio akatoa makubwa zaidi kwamba kuna sms zimekutwa zikionyeshwa pesa zinavyosambazwa kutoka nje kupitia Arusha. Huku akijua ni uongo mkubwa wala hakuna kitu kama hicho. Unataka mtu kama huyo nimwambie nini tena zaidi ya lugha anayostahili? Kuna siku nitamwona uso kwa uso na nimwambie lugha anayostahili.

Nimetumia jina langu ili kila mtu awe una uhakika 100% kwamba alieandika ni Mwakalinga mwenyewe..

Uzuri wote wanaotumia magazeti yao kuchafua watu wengine wanajulikana. Na kila baya mtu analofanya kuna siku utawajibika nalo tu.

Hakuna anayekataza mwandishi kumchunguza mwanasiasa na huko kugundua scandals zilizojificha na kuzianika. Lakini sio sahihi kusema umemkuta Ogah anaiba kuku, huku unajua kabisa hujamwona Ogah popote hata akiiba kitumbua.

Sasa huko nyuma ulivyokuwa unabwata kwamba George Mwakalinga sio Mtanzania, ulituona sisi wapumbavu? Hatuko hapa kutafuta nani ni nani, but it was tempting to show that relationship, kwa jinsi ulivyoji-expose mwenyewe.

Baada ya ubabaishaji wote huo, unaamini kwamba wewe unaweza kuwa kiongozi wa kuaminiwa? Utakuwa sawa na akina Nchimbi tu.
 
- Saafi sana na Bravo Mkulu, angalau hii sasa inapunguza unwanted attention na kuanza ku-deal na the real things uso kwa uso, na again ninashukuru sana kwamba umechukua time kuweka sawa ishus nyingi zinapotakiwa. Na nyongeza kidogo tu ni kwamba ukiwa bongo, kuna mtu hapa alileta habari nyingi ambazo hazikuwa na ukweli kama nilivyokuwa nikiwasiliana na wewe kila siku ya Mungu na mimi na Wakulu Invisible, Steve D, na Sikonge tukajitahidi sana kujaribu kuziweka habari zinapotakiwa, mpaka ulipopata nafasi ya kurudi tukakuachia mwenyewe.

- Katika hii article nimeshitushwa sana na habari ya Mwakipesile kugombea, na pia habari nyingi ndani yake ambazo siamini kwamba zina ukweli ndani yake, unless Ndugu yangu Kubenea aje hapa aweke sawa, otherwise inaweza kumshushia sana heshima na taifa na hasa hapa JF, ambapo ni muhimu zaidi kwake na shughuli zake za uandishi. Kwa hiyo kwa mara nyingine tena ninamuomba Kubenea aje aweke sawa ukweli wa habari katika article yake!

- Kuhusu huu uchaguzi wa Kyela, kwakweli inatia moyo sana kuona wagombea makini mkijitokeza tena bila uoga, niliwahi kuambiwa kwamba kuna wengine wengi watajitokeza karibuni, I mean wakati tunaendelea kusubiri, bado tunazidi kuchambua facts ili kufikia mahali pa kuamua nani anafaa over wengine, ingawa sio siri kwamba huu utakuwa uchaguzi wa the ages!

Again Mkulu Mwakalinga, thanks for coming as you are believe imepunguza makelele mengi sana yasiyo na umuhimu, aliyekupa huu ushauri ni lazima umshikilie sana maana anajua vitu vingi sana huyo! Tanzania tuna lack sana mapolitical strategists kama huyo uliyenaye!

Respect.

FMEs!

FMES na wengine mliopo kambi ya Mwakalinga;mbona sijaona sehemu kwenye article zenu mkimkemea Mwakalinga kwa kushabikia uhalifu hasa alipomnanga Kubenea kuwa"ilikuwa sahihi kwa kumwagiwa tindikali?"

Mwakalinga,kuwa kiongozi wa watu inatakiwa uwe mvumilivu mno na umeanza kuonyesha politics-immaturity kwa kuonekana kama uko upande kwa watu waliovunja sheria kwa kummwagia acids Kubenea

Nasubiri tamko toka kwenu akina FMES na Mwakalinga mwenyewe kama bado msimamo wenu ni ule ule kushabikia na kuwaunga mkono wale waliommwagia tindikali mwandishi Kubenea!

Bytheway,kama ukifanikiwa kuupata ubunge usije kuwa kama hawa wabunge wote wa Kyela waliotangulia,maana sisi wenyeji wa kijiji cha Ibungu mmetusahau sana kwenye kutujengea ka-daraja ka kuunganisha na kijiji cha Ndandalo hasa kipindi cha masika,huchukua masaa zaidi ya 5 kutoka pale kijijini hadi kufika kwenye uchochoro Mwaikambo.

Tunaomba usitusahau!
 
Sasa huko nyuma ulivyokuwa unabwata kwamba George Mwakalinga sio Mtanzania, ulituona sisi wapumbavu? Hatuko hapa kutafuta nani ni nani, but it was tempting to show that relationship, kwa jinsi ulivyoji-expose mwenyewe.

Baada ya ubabaishaji wote huo, unaamini kwamba wewe unaweza kuwa kiongozi wa kuaminiwa? Utakuwa sawa na akina Nchimbi tu.

Si ndio hapo sasa?

Yaani jamaa kaigeuza JF kama kigenge cha wachovu.
 
FMES na wengine mliopo kambi ya Mwakalinga;mbona sijaona sehemu kwenye article zenu mkimkemea Mwakalinga kwa kushabikia uhalifu hasa alipomnanga Kubenea kuwa"ilikuwa sahihi kwa kumwagiwa tindikali?"

Mwakalinga,kuwa kiongozi wa watu inatakiwa uwe mvumilivu mno na umeanza kuonyesha politics-immaturity kwa kuonekana kama uko upande kwa watu waliovunja sheria kwa kummwagia acids Kubenea

Nasubiri tamko toka kwenu akina FMES na Mwakalinga mwenyewe kama bado msimamo wenu ni ule ule kushabikia na kuwaunga mkono wale waliommwagia tindikali mwandishi Kubenea!

Bytheway,kama ukifanikiwa kuupata ubunge usije kuwa kama hawa wabunge wote wa Kyela waliotangulia,maana sisi wenyeji wa kijiji cha Ibungu mmetusahau sana kwenye kutujengea ka-daraja ka kuunganisha na kijiji cha Ndandalo hasa kipindi cha masika,huchukua masaa zaidi ya 5 kutoka pale kijijini hadi kufika kwenye uchochoro Mwaikambo.

Tunaomba usitusahau!

- Mkulu Malafyale, heshima sana mkuu mimi simo katika kambi yoyote so far lakini nikishajiunga nitasema tena wazi hapa hapa home JF, Mwakalinga is a friend so is Kubenea, na pia Mwakyembe ni a brother na watu wake close sana ni watu wangu sana hasa Kasyanju na Kifukwe.

- However, one thing ni kwamba huwa sipendi kuona ukweli ukifinyangwa kwa makusudi au kwa nia mbaya tena kwa makusudi mazima, ndio maana ukweli ulipoanza kupindishwa kuhusu safari ya Mmwakalinga, siku zote nilikuwa ninajaribu kuuweka ukweli unapotakiwa kwa sababu nilikuwa ninaongea naye kila siku ya safari yake nzima, ya kuhusu Kubenea bado ninasubiri maneno ya Kubenea mwenyewe, ndio nitaweza kutoa hukumu.

Respect.


FMEs!
 
FMES na wengine mliopo kambi ya Mwakalinga;mbona sijaona sehemu kwenye article zenu mkimkemea Mwakalinga kwa kushabikia uhalifu hasa alipomnanga Kubenea kuwa"ilikuwa sahihi kwa kumwagiwa tindikali?"

Mwakalinga,kuwa kiongozi wa watu inatakiwa uwe mvumilivu mno na umeanza kuonyesha politics-immaturity kwa kuonekana kama uko upande kwa watu waliovunja sheria kwa kummwagia acids Kubenea

Nasubiri tamko toka kwenu akina FMES na Mwakalinga mwenyewe kama bado msimamo wenu ni ule ule kushabikia na kuwaunga mkono wale waliommwagia tindikali mwandishi Kubenea!

Bytheway,kama ukifanikiwa kuupata ubunge usije kuwa kama hawa wabunge wote wa Kyela waliotangulia,maana sisi wenyeji wa kijiji cha Ibungu mmetusahau sana kwenye kutujengea ka-daraja ka kuunganisha na kijiji cha Ndandalo hasa kipindi cha masika,huchukua masaa zaidi ya 5 kutoka pale kijijini hadi kufika kwenye uchochoro Mwaikambo.

Tunaomba usitusahau!

Malafyale hivi Ibungu si ipo Tukuyu? kwani ipo Kyela, ''nijuvye tafadhali'' m

Pia, issue ya Tindikali, kuna watu walikamatwa kuna mtu anajua kesi yao iliishaje? nani wahusika? maana nakumbuka kuna watu walikamatwa!

Pia siamini kabisa kuwa hawajulikani, kesi ile ilizimwa na hapo ndipo zikaanza hiz nyepesi nyepesi kuwa Kubenea alikuwa anachukua mke wa mtu!

By any means, haikuwa sahihi kwa yeye kumwagiwa tindikali, japo alikua anakula mke wa mtu, au wewe unaonaje! mwenye mke angemfungulia tu mashtaka
 
Ogah,

Ni rahisi sana ukiwa pembeni kuandika kama ulivyoandika. Lakini kwa mtu ambaye sasa miezi minne anatolewa kwenye magazeti ya nchi kwamba ni fisadi, kibaraka wa mtu, katuma vijana kuchoma mtu kisu, kamwagiwa mapesa na ujinga mwingine ambao hauna hata chembe ndogo ya ukweli. Hata watu ambao hawakujui wanaanza kuamini kwamba wewe ni mwizi. Inafika sehemu unasema enough is enough, siasa za jino kwa jino nazo zinafanywa na binadamu. Fuata sheria na maadili ya kazi yako, hakuna atakayekugusa. Ni maadili gani ya uandishi wa habari hao tunaowajadili hapa wanafuata?

Mkuu nimejifunza, Nipashe waliandika mambo ya hovyo hivyo hivyo. Msamalia mmoja wa JF hapa akaniunganisha na mhariri wao na nikaamua kuwa muungwana. Nikampigia simu kumwambia habari mliyoandika haina ukweli kabisa, chunguzeni. Kesho yake ndio akatoa makubwa zaidi kwamba kuna sms zimekutwa zikionyeshwa pesa zinavyosambazwa kutoka nje kupitia Arusha. Huku akijua ni uongo mkubwa wala hakuna kitu kama hicho. Unataka mtu kama huyo nimwambie nini tena zaidi ya lugha anayostahili? Kuna siku nitamwona uso kwa uso na nimwambie lugha anayostahili.

Nimetumia jina langu ili kila mtu awe una uhakika 100% kwamba alieandika ni Mwakalinga mwenyewe..

Uzuri wote wanaotumia magazeti yao kuchafua watu wengine wanajulikana. Na kila baya mtu analofanya kuna siku utawajibika nalo tu.

Hakuna anayekataza mwandishi kumchunguza mwanasiasa na huko kugundua scandals zilizojificha na kuzianika. Lakini sio sahihi kusema umemkuta Ogah anaiba kuku, huku unajua kabisa hujamwona Ogah popote hata akiiba kitumbua.

nilitaka kujibu..........lakini nikakuta kuna Mkuu hapa kaelezea lile nililotaka kueleweka....nalo ni..........

........Mwakalinga,kuwa kiongozi wa watu inatakiwa uwe mvumilivu mno na umeanza kuonyesha politics-immaturity kwa kuonekana kama uko upande kwa watu waliovunja sheria kwa kummwagia acids Kubenea......

.........kama unalitambua hilo hapo juu.........ni vema uka-acknowledge hapo uliteleza Mkuu......nina mategemeo/matumaini makubwa sana na wewe kama kiongozi..........ni hayo tu..........
 
Si ndio hapo sasa?

Yaani jamaa kaigeuza JF kama kigenge cha wachovu.
.
Nilijua tu kuwa jitu kama hili litajitokeza hapa na majungu yake.

Mwaafrika domo ni jumba la maneno na endelea tu kubwata.Mara ujiite masanilo,mara Mwaafrika, mara Mwakyembe na mara em em.Ujinga.
 
.
Nilijua tu kuwa jitu kama hili litajitokeza hapa na majungu yake.

Mwaafrika domo ni jumba la maneno na endelea tu kubwata.Mara ujiite masanilo,mara Mwaafrika, mara Mwakyembe na mara em em.Ujinga.

Hili jitu mbona litakuwepo hapa kwa sana tu!
 
.
Nilijua tu kuwa jitu kama hili litajitokeza hapa na majungu yake.

Mwaafrika domo ni jumba la maneno na endelea tu kubwata.Mara ujiite masanilo,mara Mwaafrika, mara Mwakyembe na mara em em.Ujinga.

Mbona na wewe unabwatabwata sasa,tukuite nani,jinga ama???.Hizo ni dalili za kuishiwa hoja Samwel,kama vp ni bora ukae kimya tu aisee
 
- Saafi sana na Bravo Mkulu, angalau hii sasa inapunguza unwanted attention na kuanza ku-deal na the real things uso kwa uso, na again ninashukuru sana kwamba umechukua time kuweka sawa ishus nyingi zinapotakiwa. Na nyongeza kidogo tu ni kwamba ukiwa bongo, kuna mtu hapa alileta habari nyingi ambazo hazikuwa na ukweli kama nilivyokuwa nikiwasiliana na wewe kila siku ya Mungu na mimi na Wakulu Invisible, Steve D, na Sikonge tukajitahidi sana kujaribu kuziweka habari zinapotakiwa, mpaka ulipopata nafasi ya kurudi tukakuachia mwenyewe.

- Katika hii article nimeshitushwa sana na habari ya Mwakipesile kugombea, na pia habari nyingi ndani yake ambazo siamini kwamba zina ukweli ndani yake, unless Ndugu yangu Kubenea aje hapa aweke sawa, otherwise inaweza kumshushia sana heshima na taifa na hasa hapa JF, ambapo ni muhimu zaidi kwake na shughuli zake za uandishi. Kwa hiyo kwa mara nyingine tena ninamuomba Kubenea aje aweke sawa ukweli wa habari katika article yake!

- Kuhusu huu uchaguzi wa Kyela, kwakweli inatia moyo sana kuona wagombea makini mkijitokeza tena bila uoga, niliwahi kuambiwa kwamba kuna wengine wengi watajitokeza karibuni, I mean wakati tunaendelea kusubiri, bado tunazidi kuchambua facts ili kufikia mahali pa kuamua nani anafaa over wengine, ingawa sio siri kwamba huu utakuwa uchaguzi wa the ages!

Again Mkulu Mwakalinga, thanks for coming as you are believe imepunguza makelele mengi sana yasiyo na umuhimu, aliyekupa huu ushauri ni lazima umshikilie sana maana anajua vitu vingi sana huyo! Tanzania tuna lack sana mapolitical strategists kama huyo uliyenaye!

Respect.

FMEs!
.

Fmes,
Kubenea hawawezi kujitokeza kujibu alichoandika.Atajibu nini na taarifa hizi za majungu?.
Hapa tunaanza kukosa imani kuwa kumbe ata hawa mafisadi wanasingiziwa tu.
Kwa kusisitiza zaidi anasema alichoandika kuhusu kyela ni uchunguzi wa muda mrefu.
Tumwamini vipi mtu huyu na gazeti lake?
 
.

Fmes,
Kubenea hawawezi kujitokeza kujibu alichoandika.Atajibu nini na taarifa hizi za majungu?.
Hapa tunaanza kukosa imani kuwa kumbe ata hawa mafisadi wanasingiziwa tu.
Kwa kusisitiza zaidi anasema alichoandika kuhusu kyela ni uchunguzi wa muda mrefu.
Tumwamini vipi mtu huyu na gazeti lake?

Mbona unaanza kumhukumu Kubenea kabla hujausikiliza utetezi wake mkuu??,kama FMES alivyoshauri ni vema Kubenea(kama ataweza) aje humu jamvini na kuweka mambo sawa(kama alivyofanya kwa ile ishu ya Zitto)...Ilipotoka ishu ya mama yake Zitto,Zitto alikuja humu na kuanza kumtuhumu Kubenea(kama alivyofanya Mtanzania) lakini mara alipokuja Kubenea hapa na kueleza nini kilichojiri ndipo watu walianza kupima ukweli ni upi na uongo ni upi..Kubenea please popote ulipo njoo hapa uweke mambo haya sawa
 
Mbona na wewe unabwatabwata sasa,tukuite nani,jinga ama???.Hizo ni dalili za kuishiwa hoja Samwel,kama vp ni bora ukae kimya tu aisee

Utamweza huyo.. timu Mwakalinga iliishiwa hoja muda mrefu uliopita. Vimebaki viroja tu na matusi
 
.

Fmes,
Kubenea hawawezi kujitokeza kujibu alichoandika.Atajibu nini na taarifa hizi za majungu?.
Hapa tunaanza kukosa imani kuwa kumbe ata hawa mafisadi wanasingiziwa tu.
Kwa kusisitiza zaidi anasema alichoandika kuhusu kyela ni uchunguzi wa muda mrefu.
Tumwamini vipi mtu huyu na gazeti lake?

Ha ha ha,

Hii imenichekesha sana, mafisadi wanasingiziwa. Ama kweli timu Mwakalinga na mafisadi ni kama pete na tepe ...oppps pete na kidole
 
FMES na wengine mliopo kambi ya Mwakalinga;mbona sijaona sehemu kwenye article zenu mkimkemea Mwakalinga kwa kushabikia uhalifu hasa alipomnanga Kubenea kuwa"ilikuwa sahihi kwa kumwagiwa tindikali?"

Mwakalinga,kuwa kiongozi wa watu inatakiwa uwe mvumilivu mno na umeanza kuonyesha politics-immaturity kwa kuonekana kama uko upande kwa watu waliovunja sheria kwa kummwagia acids Kubenea

Nasubiri tamko toka kwenu akina FMES na Mwakalinga mwenyewe kama bado msimamo wenu ni ule ule kushabikia na kuwaunga mkono wale waliommwagia tindikali mwandishi Kubenea!

Bytheway,kama ukifanikiwa kuupata ubunge usije kuwa kama hawa wabunge wote wa Kyela waliotangulia,maana sisi wenyeji wa kijiji cha Ibungu mmetusahau sana kwenye kutujengea ka-daraja ka kuunganisha na kijiji cha Ndandalo hasa kipindi cha masika,huchukua masaa zaidi ya 5 kutoka pale kijijini hadi kufika kwenye uchochoro Mwaikambo.

Tunaomba usitusahau!

Sasa na wewe Poti kama huyo Kubenenga alikuwa ana wa TIGER WOODS wake za watu.
 
- - Katika hii article nimeshitushwa sana na habari ya Mwakipesile kugombea, na pia habari nyingi ndani yake ambazo siamini kwamba zina ukweli ndani yake, unless Ndugu yangu Kubenea aje hapa aweke sawa, otherwise inaweza kumshushia sana heshima na taifa na hasa hapa JF, ambapo ni muhimu zaidi kwake na shughuli zake za uandishi. Kwa hiyo kwa mara nyingine tena ninamuomba Kubenea aje aweke sawa ukweli wa habari katika article yake!


FMEs!
Mkuu FMES,

Kwanza niombe msamaha maana nilimsahau mdogo wangu SteveD katika watu waliosaidia kuokoa jahazi kutoka midomoni mwa mamba wakati mimi nilipokuwa likizo huko Tanzania.

Sikonge ndio simsemi maana tumetoka mbali wote. Itabidi akishapata uzoefu wa Kyela basi 2015 tuwe wote kule Sikonge tukimuuza kwa wapiga kura. Tunataka watu ambao unaweza kuwaangalia machoni na ukasema unachoniambia ni sahihi kwa asilimia angalau 99. Tumechoshwa na watu ambao wanadanganya karibu kila kitu.

Nilikuwa naweza kujitokeza moja kwa moja kama Mwakalinga lakini nimeamua nitumie majina yote mawili ili mtu aweze kurudi nyuma na kuangalia kama kuna inconsistence yoyote katika hoja zangu tokea enzi za Mtanzania kule Business Times mpaka leo hapa JF.

Wengine wanaotaka kugombea Kyela wanakaribishwa mno maana hiyo ndiyo demokrasia ambayo tunaiongelea siku zote; wananchi wapate nafasi ya kuchambua pumba na mchele.

Mwisho, kwa habari nilizo nazo mimi kwa asilimia zaidi ya 99 ni kwamba Mwakipesile hagombei ubunge Kyela mwakani. Nimeambiwa hata yeye ameshutushwa mno na hizi habari za Kubenea. Wacha tumwachie Mwakipesile mwenyewe ajibu.

Mimi nimeongelea ya kwangu tu lakini kwa habari ambazo nazijua kuhusu Mwakipesile, Hunter na Mwanjala, hata huko mkuu Kubenea ameboronga mengi tu, amewapaka hao wana Kyela wengine bila sababu za msingi. Kwa sasa nitaacha kila mtu ajiokoe mwenyewe.
 
Mbona unaanza kumhukumu Kubenea kabla hujausikiliza utetezi wake mkuu??,kama FMES alivyoshauri ni vema Kubenea(kama ataweza) aje humu jamvini na kuweka mambo sawa(kama alivyofanya kwa ile ishu ya Zitto)...Ilipotoka ishu ya mama yake Zitto,Zitto alikuja humu na kuanza kumtuhumu Kubenea(kama alivyofanya Mtanzania) lakini mara alipokuja Kubenea hapa na kueleza nini kilichojiri ndipo watu walianza kupima ukweli ni upi na uongo ni upi..Kubenea please popote ulipo njoo hapa uweke mambo haya sawa
Balantanda.
Utakuwa kama wafuasi wa Kibwetele wa Uganda.Waliomsubiri sana yesu wakiamini atakuja na mwisho wakaamua kujichoma wenyewe.

Hiyo taarifa imepikwa kila sehemu na hana cha kujitetea.
Mwandishi makini ni yule anaye balance uandishi wa habari zake .Mwakalinga tunaye hapa muda wote na ni mmoja kati ya wana jf wa kwanza.Alishindwaje kumuuliza kabla ya kuitoa hewani?..
 
FMES na wengine mliopo kambi ya Mwakalinga;mbona sijaona sehemu kwenye article zenu mkimkemea Mwakalinga kwa kushabikia uhalifu hasa alipomnanga Kubenea kuwa"ilikuwa sahihi kwa kumwagiwa tindikali?"

Mwakalinga,kuwa kiongozi wa watu inatakiwa uwe mvumilivu mno na umeanza kuonyesha politics-immaturity kwa kuonekana kama uko upande kwa watu waliovunja sheria kwa kummwagia acids Kubenea

Nasubiri tamko toka kwenu akina FMES na Mwakalinga mwenyewe kama bado msimamo wenu ni ule ule kushabikia na kuwaunga mkono wale waliommwagia tindikali mwandishi Kubenea!

Bytheway,kama ukifanikiwa kuupata ubunge usije kuwa kama hawa wabunge wote wa Kyela waliotangulia,maana sisi wenyeji wa kijiji cha Ibungu mmetusahau sana kwenye kutujengea ka-daraja ka kuunganisha na kijiji cha Ndandalo hasa kipindi cha masika,huchukua masaa zaidi ya 5 kutoka pale kijijini hadi kufika kwenye uchochoro Mwaikambo.

Tunaomba usitusahau!

Malafyale,
Mbona Ibungu kuna kuna kiteputepu ambacho walijenga kwa milioni 100. Ufisadi uko hata Kyela japo hatuusemi na tunaongelea wa taifa tu.

Kweli unaona inalipa kwa Kyela kujenga daraja lingine pale Ibungu wakati mna daraja kushoto na kulia kwa Ibungu.

Ifike mahali tupange priorities zetu vizuri. Kama kuna pesa bora ziimarishe shule, afya na kilimo.

Hayo ya tindikali; katika haya mapambano sitaanzisha vita na mtu yeyote, ila kama mtu kaanzisha vita ni ruksa na mimi kujibu. Watu wengine ni wapuuzi na ndio maana wanamwagiwa acid, narudia kwa mara nyingine. Hata USA walitumia nuclear kujibu mashambuliza ya Wajapani na wajomba zao Wajerumani katika vita kuu ya pili.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom