Samwel
JF-Expert Member
- Mar 25, 2007
- 224
- 8
Mkuu magoli.Balantanda.
Utakuwa kama wafuasi wa Kibwetele wa Uganda.Waliomsubiri sana yesu wakiamini atakuja na mwisho wakaamua kujichoma wenyewe.
Hiyo taarifa imepikwa kila sehemu na hana cha kujitetea.
Mwandishi makini ni yule anaye balance uandishi wa habari zake .Mwakalinga tunaye hapa muda wote na ni mmoja kati ya wana jf wa kwanza.Alishindwaje kumuuliza kabla ya kuitoa hewani?..
Hayo yapo mengi.
1.Kuna mhariri wa gazeti la majira(namba yake ya simu 0784840808). Yeye ni kiboko.Waandishi wa habari wa mikoani, wakimutumia habari ambayo inaeleza madudu ya Mwakyembe,basi ikifika kwake,yeye ataibadili mpaka hakikishe inamsifia mheshimiwa au hiyo taarifa itawekwa kikapuni.
Hao ndiyo waandishi wa kibongo.
2.Mara nyingine ninakumbuka usemi wa mheshimiwa mwenyewe mwakyembe kuwa elimu zao ni ndugu na serikali iwasaidie.