pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 19,030
- 15,232
Mnatuvuruga sana wewe Kubenea. kaeni ktk chama toeni tamko acheni upuuzi wa kuchanganya wanachama kwa matamko ya kila mtu! ujinga mtupu!
Tunarudi kule kule harakati ziachiwe akina Helen kijo bi Simba!! Siasa za harakati hazina manufaa!! CUF ilijaribu ikashindwa... NCCR ilishindwa na hata CDM ya Dr Slaa ilishindwa pia. Slaa amewahi endesha operesheni sangara lkn kwenye udiwani wakavuna kata tatu tu!!
Zile siasa za kuimba CCM inafumbia macho ufisadi hazina nguvu tena coz Magufuli keshamaliza agenda hiyo kwa sanaa zake!!
Zile agenda za tunaibiwa kwenye madini Magufuli kazibeba tayari!!
Zile agenda za uzembe wa kuchukua hatua Magufuli anacheza na mdundo!!
Unalotakiwa kujua Majira na mambo yamebadilika!! Majira hayafwati watu bali watu hufwata Majira!!! Sisa za harakati kwa karne hii hazina nafasi tena mkuu.
Mshana.Embu tuliza kichwa tafakari kwa kinaa .weka picha ya ccm iliyokwama kisiasa aina fikra mpya tena .na mbinu pekee iliyobaki ni kuzuia chama chochote kisiwapite walipo kwamia kwa kutumia marufuku ya siasa,Polisi,bunge,mahakama,kukosolewa kuanzia vyombo vya habari mpaka mwananchi wa kawaidi .achilia mbali marisasi na kutekana .embu tafakari alafu linganisha na uamuzi wa Maalimu Seifu wakati ule na Ccm na Cdm wakati huu tulio naoKwa wasiofahamu tu ni kwamba Lowasa na Kubenea wana ukaribu wa miaka mingi hivyo inawezekana kabisa anachoongea kina baraka zake
Ukiona hivyo Ujue anaelekea Chekpoint muda si mrefu mkuu.Kubenea atofautiana na wakubwa zake mbowe, lema na lisu
Kwani alihama nazo kutoka ccm?Mlipeni kwanza pesa zake alizowekeza Chadema. Msilete uhuni wa kumdhulumu mamvi.
Acheni longolongo, mrudishieni Lowasa mihela yake kwanza.Kwani alihama nazo kutoka ccm?
Utapataje tume huru, katiba mpya, tra, tiss na polisi huru bill kuwa mwanaharakati? Magufuli hajabeba uanaharakati Bali ameugandamiza Sana kwa kuwaua wanaharakati na kudampu miili yao cocobeach na pia amezuia na kupiga marufuki mikutano ya kisiasa na majukwaa mengine yote yanayowakutanisha wanaharakatiTuliwahi shauri chadema kuwa siasa za harakati hazifai. Ilifikia hatua JK aliita chadema ni mkusanyiko wa wana harakati na si wanasiasa. Ona Leo Magufuli kabeba agenda zao zote za kiharakati kitu ambacho huko nyuma ilikua adimu kumsikia mtu wa hadhi ya Rais akitamka neno fisadi!! Leo Magufuli kabeba agenda ya ufisadi... kabeba agenda za "tunaibiwa madini" kabeba agenda ya tumbua tumbua ili kuzima ile hoja ya "udhaifu"
Shida ni kuwa Magufuli kabeba uanaharakati sasa wanashindwa tembea na bit!!
CorrectDhamana
Easier said than done.Hilo halina shida maana hakuianzisha cdm yeye bali aliikuta tena ikiwa kwenye hali nzuri ile mbaya. Lakini baada ya yeye kuingia hapo ndio chama kikaanza kuingia nuksi. Aonyeshe kiwango cha mauziano aliyofanya tena kwa EFD receipt na terms za hiyo biashara, wanachama na sisi washabiki tuonyeshwe. Kisha tutaamua tulipe kulingana na faida aliyoingiza huku tukipima madhara aliyoiletea cdm. Ila kama alifanya biashara ya kitapeli itabidi aondoke na waliopeana naye hizo hela. Una lingine?
Usha doubt ya wangapi, imesaidia au kupunguza nini. You're irrelevantNaanza ku doubt uwezo wa kufikiri wa Kubenea!
Mbona membe, nape, bashe etc wametofautiana sana na Magu.Kupishana mawazo na kutofautiana na msimamo wa mwenyekiti hii ndio demokrasia tunsyoitaka.
Hatutaki akili za kiccm wote muwe kama treni kinapoelekea kichwa mabehewa yote yanafuata.
Ccm hakuna mwenye jeuri wala uthubutu wa kutofautiana na mwenyekiti wao, hawa ni wafu.
Hii ndio demokraia tunayoitaka watu kutofautiana mawazo na mitazamo. Siyo one size fit all.
Unafikir somalia hapajawahi kuwa na amani? Unafikiri walianza siku moja kufika walipofika? Endelea kuamini kuwa yanayotokea somalia hapa hayawezekani ukidhani una mapolisi na wanajeshi wa kutosha tena wanaouwawa kama vifaranga huko mkuranga na kongoHizo siasa shindani za kukosoana nendeni mkazifanye Somalia.
Mbona unaanza kuweweseka?Unafikir somalia hapajawahi kuwa na amani? Unafikiri walianza siku moja kufika walipofika? Endelea kuamini kuwa yanayotokea somalia hapa hayawezekani ukidhani una mapolisi na wanajeshi wa kutosha tena wanaouwawa kama vifaranga huko mkuranga na kongo
as your mother is to your fatherUsha doubt ya wangapi, imesaidia au kupunguza nini. You're irrelevant