Kubenea: Lowassa ameonesha njia

Unapoint mtoa mada, its good to look this in a +ve way/ side. Shida ni kwamba tofauti na wengi wetu katika siasa tukishaitwa upinzani -ve kwa kila jambo. Na pia mamvi angetumia busara zake kujua uongozi wa chama chake unauelewa wa kiwango gani ili a "forecast " kitakachojiri kabla ya kwenda kumsifia mkulu.
All in all ameki damege chama chake big time
 
Kilichobaki ni makamanda kuanza kulumbana wenyewe kwa wenyewe, kukosoana na baadhi kupeana faraja juu ya tukio lile wakati Ngoyayi kakaa kimya. Kosa lilifanyika mwaka 2015 walipompokea jamaa, yanayotokea sasa hivi ni matokea tu na wengi tuliyategemea kasoro wale fuata upepo uvumishwao na mkalia kiti.
 
Lowassa siyo mtu sahihi kuwa CDM? umerogwa? Nani mwenye chama? Nani alijiunga na chama siku ya kwanza, ya pili akawa mgombea urais na mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama?
 
Kwa wasiofahamu tu ni kwamba Lowasa na Kubenea wana ukaribu wa miaka mingi hivyo inawezekana kabisa anachoongea kina baraka zake
Mbona bado mjajua kilichopo Chadema ....subiri kitifuke ....
 
Mh.Lowasa si mtu wa kujibizana sana majukwaani na hata kwenye mitamdao.Mtakumbuka alipoitwa fisadi kwa miaka mingi hakujibu kitu. Baadae watu walikuja kuona ufisadi halisi ulikuwa wapi?

Hili la kukutana na Rais na kupongeza juhudi kama lilivyoripotiwa, je ni hilo tu? Mnajuaje kama ni hayo tu aliyozungumza. Je kama kuna aliyokosoa lakini hayakuripotiwa? Je, nani alikuwepo kubalance story?

Huenda kuna mengi yalijadiliwa na huenda kuna ukosoaji na kupongeza, lakini ikaripotiwa kupongeza. Kabla Mh. Lowasa hajatoa maelezo ya kilichojadiliwa, mmeanza maneno makali na vitisho.
Kama ilivyo kawaida yake kutojibizana, kaamua kunyamaza. Mtakuja gundua baadae mambo mengine makubwa yaliyojadiliwa.

Mbona makamanda mna maneno makali? Mbona mnaleta mpasuko wa chama bila sababu za msingi?

Kumbukeni CHADEMA ndicho chama cha kidemokrasia, kinapaswa kuwa mfano kwa vyama vingine. Kutofautiana mtazamo ni moja ya mambo ya kidemokrasia. Mh. Lowasa kaona kuna mambo ya kupongeza.
 
Uzuri Kubenea alishaliona burungutu la kununua wapinzani.
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
 
seif alipokutana na shein hakujitokeza hadharani kumsifu shein hata sikunmoja,walifanya mazungumzo kimya kiimya hadi walipotangaza muafaka,huyunwenu kaongea siku moja tu na kumpa sifa jpm kibao
 
Lowassa inawezekana hakwenda Ikulu Kama Mwana Chadema au Mwanasiasa kaenda kuzungumza ya Mkwewe Sioi maana Pamela Kawa Kama Mjane Mwaka wa pili huu anakumbatia Mto usiku peke yake
Hoja iko hapa anayosema Kubenea anahisi hana HAKIKA Maana kama ameenda kwa issue ya Muafaka kwa Vyoyote Viongozi wa Chadema wangejua na hata change kuongea kwenye Press wangekijua Lkn kusema eti alienda kama Maalim Seif
Kubenea anataka kuamini watz wote ni maBWEGE
 
Kwahiyo unadhani Lowasa kaenda kuongea na Magufuli kuhusu Serikali ya Kitaifa au Magufuli aruhusu siasa shindani za kukosoana?

Hahaha.... Poor you.
Usisahau demokrasia ni kukubali katika kutofautiana fikra .kumpinga Mbowe,Kubenea au Lowasa ni uditecta uchwara
 
Anataka afukuzwe ili agome
Kufukuzika moto uwake Kama NCCR ya Miaka ile
Ulipo tupo vs Bavicha
Wanamtandao wanataka kuteka Chadema baada ya kushindwa huko CCM
Nyie ndio umtaiua CDM chama gani hakitaki fikra au mbinu mpya .mwanachama akachangia wazo likajadiliwa .CDM imekuwa kama ccm sasa au !!???
 
Hahahahahaa Kubenea hapo Raha yake eti Ben Saa Nane anakunywa kahawa mtaani na marafiki zake makarai Bhana
 

The remaining part of the story sina interest nayo, mi naangazia hayo maneno yenye rangi nyekundu

Sitaki kuamini kuwa CCM, Usalama wa taifa hadi Jakaya walikuwa hawajui

Kama ni kweli basi hiyo ni hatari kubwa sana
Mbona kuna kauli ya Kikwete akikiri kujui kukutana huko baada ya kukutana huko kwa Karume na Seifu .usiongee kitu bila utafiti kwanza [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…