Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,624
- 272,378
nimegundua kwamba wewe jamaa una kiwango duni sana !Subiri UKAWA ipate dola ifanye hiyo kazi ya kuburuzana Mahakamani...CCM tuna namna yetu ya kufanya mambo...Hapa kazi Tu.
nimegundua kwamba wewe jamaa una kiwango duni sana !Subiri UKAWA ipate dola ifanye hiyo kazi ya kuburuzana Mahakamani...CCM tuna namna yetu ya kufanya mambo...Hapa kazi Tu.
halafu wee mzee una tatizo gani aisee ? tangu ulipotimuliwa na bulembo kwenye jumuiya ya wazazi ya ccm ni kama umechanganyikiwa hivi !Hapa onyo liko wapi?
- Kubenea anatapa tapa na hela za kutumiwa, anachotakiwa kuelewa ni kwamba sasa kuna Serikali mpya kwanza atafungiwa magazeti yake and next atafungwa yeye mwenyewe, akitaka kuendelea kuwa muandishi wa habari aandike kama magazeti mengine ule uandishi wake wa kutumiwa na kuvuta pesa sasa basi, halafu ajue kwamba hata hao wanaomtuma soon na wao wataionja joto ya jiwe. Kunenea hawezi kumpa onyo Waziri wa Serikali ya jamhuri angekuwa na huo uwezo asingefungiwa maisha hilo gazeti lake la kiudaku daku!!
le Mutuz
Ina maana kumiliki chombo cha habari mpk uwe msomi wa kiwango fulani. Tukubali tusikubali kuna hitajika uhuru wa kuandika kwa mtazamo wa aina hiyo ya habari(utafiti). Ndiyo maana sijaona mtu kwenda mahakamani kushitaki. Kuna magazeti yana andika uongo wa dhahiri lkn sioni hata mmoja hapa kusema. Kama maawio limechapisha habari mbaya washitakiwe lkn si kufungia gazeti. Kubenea anathubutu kutujuza ambayo magazeti mengine hayana ubavu huo. Nyie watawala angalieni kwanza mabolti yaliyomo kwenye macho yenu ndipo muwe na haki ya kuangalia vibanzi kwenye macho ya maawio.Napinga Mawio kufungiwa
lakini naamini Mawio wana upungufu mkubwa wa maadili
Kubenea ni vizuri akajitazama na kujitathimini
ana make headlines for all the wrong reasons....
Mara vyeti vyake vimefanyaje
mara Zitto waparurane
mara yuko katikati ya uchaguzi wa Meya
mara hili.....
wapiga kura wake wanamtazama tu....wasije kumchoka so fast
Kwa ubungo haitawahi kutokea ccm walichukue jimbo iwe kwa mabao ya mkono, Kubenea anathubutu angalia kuna magazeti yanaandika uongo wa wazi. Mshitaki aliyeandika gazeti liachwe kwa nini mfungie gazeti, aitwe atoe ushahidi kama traitor azodolewe. Aina hii ya unafiki imetufikisha hapa kusema ukweli hakuna, znz kuna mazungumzo gani mapande ya miti yamejaa kwenye macho yenu kazi kuangalia vijiuchafu kwenye macho ya wengineMkuu kama lina upungufu mkubwa wa maadili basi kufungiwa ni haki yake. Hakika nakuambia ya kwamba Kubenea hatarudi bungeni 2020
Ni wakati wa Kubenea kujikita kwenye ubunge kuwakilisha wapiga kura wake waliomchagua kwenda bungeni
Uandishi wa habari una miiko yake kama taaluma zingine. Ukiuka unafutwa kwenye daftari la wana taaluma husika duniani kote. Siyo suala la Serikali kung'ata ikochonolewa.Serikali inang'ata pale inapochikonolewa inatakiwa isifiwe tu sifa mpaka ivimbiwe
Kila kitu kimefanywa kisheria na hatuendeshi nchi kwa hisia. Eti kama imefanya hivi washtakiwe na sio kufungiwa....Sheria ya magazeti umeisoma? Unajua kuwa waziri kapewa mamlaka kisheria kufungia gazeti na taratibu zote zimeelekezwa kisheria? Sasa kama mamlaka anayo tena kisheria na ameyatumia mamlaka yake....kuna haja gani tena ya serikali kwenda Mahakamani!?Ina maana kumiliki chombo cha habari mpk uwe msomi wa kiwango fulani. Tukubali tusikubali kuna hitajika uhuru wa kuandika kwa mtazamo wa aina hiyo ya habari(utafiti). Ndiyo maana sijaona mtu kwenda mahakamani kushitaki. Kuna magazeti yana andika uongo wa dhahiri lkn sioni hata mmoja hapa kusema. Kama maawio limechapisha habari mbaya washitakiwe lkn si kufungia gazeti. Kubenea anathubutu kutujuza ambayo magazeti mengine hayana ubavu huo. Nyie watawala angalieni kwanza mabolti yaliyomo kwenye macho yenu ndipo muwe na haki ya kuangalia vibanzi kwenye macho ya maawio.
Miiko imewekwa ili kuficha ukwel na kufunikafunka maovu,,serikal haipend kuchokonolewa hahahahahahaUandishi wa habari una miiko yake kama taaluma zingine. Ukiuka unafutwa kwenye daftari la wana taaluma husika duniani kote. Siyo suala la Serikali kung'ata ikochonolewa.
TAFAJARI CHUKUA HATUA
Waziri mwenye mamlaka kapewa chance ya kufungia kisheria,,,hiyo sheria mbovu ndio kandamiz hata wazir akiwa na chuk binafs atafungia tu hamna namna not fair kabisa serikal haipend kusemwa km inakoseaKila kitu kimefanywa kisheria na hatuendeshi nchi kwa hisia. Eti kama imefanya hivi washtakiwe na sio kufungiwa....Sheria ya magazeti umeisoma? Unajua kuwa waziri kapewa mamlaka kisheria kufungia gazeti na taratibu zote zimeelekezwa kisheria? Sasa kama mamlaka anayo tena kisheria na ameyatumia mamlaka yake....kuna haja gani tena ya serikali kwenda Mahakamani!?
Mijitu mingine sijui mkoje...mnaandika ukinga tu kwenye mitandao.
Kanjanja huyo sio loloteI second you 100%. Kubenea anatakiwa kujitathmin kama bado ni mwanaharakati au mwanasiasa kwani yeye kwa sasa hivi ndo amekua ndo headline ya mambo mengi yenye utata
Hii Tanzaniz sasa itakua ni yako DuppyKubenea na wahalifu wenzake wanyang'anywe leseni za uandishi
Afungiwe tu, yeye ni nani kila siku yupo kuchochea ugomvi na machafuko,kwanza achunguzwe kama ni mtizeee
Kweli mkuu, onyo tena kali anastahli Mawio ila kufungiwa hata mimi napinga sana tena kwa kelel kubwa sana, hapa Nape hajafanya fair hata kidogo. Yani nikama ameagizwa hivi afanye, Sidhani kama ni akili yake timamu au labda ni sababu ya hicho cheo ambacho hajawahi kukitumikia hapo kabla ndo kinampa hilo w-ng-????Kusema ukweli tukiacha unazi wa uchama na kiupinzani...gazeti la MAWIO lilikuwa likiandika habari zake kinyume na maadili ya kiundishi...ingawa sikubaliani na suala kufungiwa kwake lilipaswa kupewa onyo tu....
Napinga Mawio kufungiwa
lakini naamini Mawio wana upungufu mkubwa wa maadili
Kubenea ni vizuri akajitazama na kujitathimini
ana make headlines for all the wrong reasons....
Mara vyeti vyake vimefanyaje
mara Zitto waparurane
mara yuko katikati ya uchaguzi wa Meya
mara hili.....
wapiga kura wake wanamtazama tu....wasije kumchoka so fast
Haya ni moja ya maamuzi ya kukurupuka ya serikali ya Magufuri....lazima atambue kuwa hii inaongozwa kwa mujibu wa katiba na sio kwa utashi wake yeye binafsi...Kweli mkuu, onyo tena kali anastahli Mawio ila kufungiwa hata mimi napinga sana tena kwa kelel kubwa sana, hapa Nape hajafanya fair hata kidogo. Yani nikama ameagizwa hivi afanye, Sidhani kama ni akili yake timamu au labda ni sababu ya hicho cheo ambacho hajawahi kukitumikia hapo kabla ndo kinampa hilo w-ng-????
Haya ni moja ya maamuzi ya kukurupuka ya serikali ya Magufuri....lazima atambue kuwa hii inaongozwa kwa mujibu wa katiba na sio kwa utashi wake yeye binafsi...