Kubenea ampa onyo kali Nape

Kubenea ampa onyo kali Nape

Ndo hapo sasa,,, Ina maana alikuwa anawapa habari kipinde kile au wana maanishaje hawa kina kubenea
Kifupi NAPE ni mmojawapo ya waasisi wa CCJ, chama kilichotaka kujitenga kutoka CCM baada ya kutokubaliana na baadhi ya mambo ya CCM.
HUyu Nape akicheza na Kubenea anaweza akatolewa mpaka audio clips na SMS zake alizokua akitumiana na Kubenea enzi hizo yeye Nape ni "Chanzo"
 
Ni wakati wa Kubenea kujikita kwenye ubunge kuwakilisha wapiga kura wake waliomchagua kwenda bungeni
Nape naye ajikite kuwakilisha wananchi wake japo alishinda kwa bao la mkono badala ya kujikita kwenye vita na magazeti.
 
Kusema ukweli tukiacha unazi wa uchama na kiupinzani...gazeti la MAWIO lilikuwa likiandika habari zake kinyume na maadili ya kiundishi...ingawa sikubaliani na suala kufungiwa kwake lilipaswa kupewa onyo tu....
Utakuwa una matatizo kwanza umekiri kwamba hilo gazeti lina shida kisha hutaki lifungiwe pole
 
Kubenea anatumika vibaya sana, kipindi hicho kubenea alikuwa anatumiwa na nape kumchafua lowassa kwa muda wa miaka 8, leo kubenea katemwa kama big G analalamika. Ila tatizo la kubenea ni shule, anaruka ruka tu lakn elimu hakuna kumkichwa
 
Ni wakati wa Kubenea kujikita kwenye ubunge kuwakilisha wapiga kura wake waliomchagua kwenda bungeni
We muache tu,amuulize mnyika,miaka mitano sio mingi atakimbia mwenyewe
 
Napinga Mawio kufungiwa
lakini naamini Mawio wana upungufu mkubwa wa maadili

Kubenea ni vizuri akajitazama na kujitathimini
ana make headlines for all the wrong reasons....

Mara vyeti vyake vimefanyaje
mara Zitto waparurane
mara yuko katikati ya uchaguzi wa Meya
mara hili.....

wapiga kura wake wanamtazama tu....wasije kumchoka so fast
Mkuu kama lina upungufu mkubwa wa maadili basi kufungiwa ni haki yake. Hakika nakuambia ya kwamba Kubenea hatarudi bungeni 2020
 
Nape naye ajikite kuwakilisha wananchi wake japo alishinda kwa bao la mkono badala ya kujikita kwenye vita na magazeti.
Nape ni waziri wa habari na wasipojiangalia atatumia hiyo nafasi kuwafungia wengi,Kubenea alishapambana sana kama mwanahabari lakini sasa ni mwakilishi wa wananchi.Hawa wabunge wa Dar walichaguliwa badala ya kutatua shida za wananchi wanajisahau ikifika wakati wa uchaguzi wanaanza kulialia.Angalia kina SUGU,Nasari,Prof J wako busy kutekeleza ahadi walizoahidi wananchi
 
Huyu anayejiita Saed Kubenea awatafute kwanza wabunge kama Mnyika ambao wanafahamu utendaji wa bunge ili wampe somo.

Kwa sasa ana kesi mahakamani na akifungwa miezi zaidi ya sita au zaidi, hata ubunge wake utakuwa invalid.

Hafahamu kama CCM wanaweza kum-fix him up na ubunge wake ukawa historia.
 
Serikali imechelewa mno kuvipiga pin vipeperushi aina ya Mawio vinavyotumika kuchafua watu kisa wana ugomvi na mmiliki wake.

Ndo maana huwa nampongeza sana Kagame kwenye hili,pale Rwanda hakuna upuuzi wa waandishi kuizushia ikulu udaku wa kuokoteleza kwenye vijiwe.

Otherwise mtaokota mizoga ya wahariri kabla hata toleo halijaingia mitaani.

Tofauti na kwetu,ikulu ya Kagame haikanushi udaku wa waandishi bali hukanusha kuhusika na vifo vyao.
 
kwakweli wananchi wa jimbo la ubungo tumeishaanza kujuta kumchagua huyu bwana...kama ccm wangesimamisha mtu tofauti na masaburi tungemchagua...haina namna tumechagua kilazas
 
kwakweli wananchi wa jimbo la ubungo tumeishaanza kujuta kumchagua huyu bwana...kama ccm wangesimamisha mtu tofauti na masaburi tungemchagua...haina namna tumechagua kilazas
Sema Wewe lakini sisi tumempenda na 2020 tutamchagua tena
 
Nachukua fursa hii kumtangaza rasmi MH SAED KUBENEA kama shujaa mpya wa Taifa letu .
 
Kubenea anatumika vibaya sana, kipindi hicho kubenea alikuwa anatumiwa na nape kumchafua lowassa kwa muda wa miaka 8, leo kubenea katemwa kama big G analalamika. Ila tatizo la kubenea ni shule, anaruka ruka tu lakn elimu hakuna kumkichwa
Mkuu mungu wa ajabu, ndo kishambariki
 
Back
Top Bottom