kubemenda mtoto ni ile hali ya kufanya mapenzi na mama mjamzito aliyekaribu kujifungua say miezi 7.5 hadi 9, na kutoa mbegu za kiume ambazo huweza kumwathiri mtoto tumboni
mara nyingi mtoto aliyebemendwa anakua na mabaka mwilini meusi hivi, mara nyingi tumboni, kwenye mbavu au sehemu za mikono(watoto nilio wahi kuwaona)
kubemenda mtoto ni ile hali ya kufanya mapenzi na mama mjamzito aliyekaribu kujifungua say miezi 7.5 hadi 9, na kutoa mbegu za kiume ambazo huweza kumwathiri mtoto tumboni
mara nyingi mtoto aliyebemendwa anakua na mabaka mwilini meusi hivi, mara nyingi tumboni, kwenye mbavu au sehemu za mikono(watoto nilio wahi kuwaona)
George_Porjie, Mimi nilidhani kummbemenda mtoto kunatoka na mama kufanya mapezi wakati akiwa na mtoto mchanga, kumbe nilikuwa na tafasiri isiyo sahii, Asante mkuu.
George_Porjie you are wrong, The farmer you half correct:
Kubemeda mtoto ni matokeo ya Mama na Baba wenye kichanga kufanya zinaa (kutembea nje ya ndoa yao) wakati kichanga kile bado kinanyonyeshwa. Hii dhana kwa tafsiri ya kisasa maana yake ni "malnutrition".
Endapo Mama ataendekeza ebeneke wakati anayonyesha most likely lishe kwa mtoto itapungua sana and equally endapo Baba ataendekeza "nyumba ndogo" kipindi hicho Mama atakuwa stressed na hataweza kumpatia mtoto lishe ya kufaa (esp kama anamnyonyesha unakuta hata maziwa hayatoki ifaavyo).
Kubemenda = Kwashakoo
Weekend Njema
George_Porjie you are wrong, The farmer you half correct:
Kubemeda mtoto ni matokeo ya Mama na Baba wenye kichanga kufanya zinaa (kutembea nje ya ndoa yao) wakati kichanga kile bado kinanyonyeshwa. Hii dhana kwa tafsiri ya kisasa maana yake ni "malnutrition".
Endapo Mama ataendekeza ebeneke wakati anayonyesha most likely lishe kwa mtoto itapungua sana and equally endapo Baba ataendekeza "nyumba ndogo" kipindi hicho Mama atakuwa stressed na hataweza kumpatia mtoto lishe ya kufaa (esp kama anamnyonyesha unakuta hata maziwa hayatoki ifaavyo).
Kubemenda = Kwashakoo
Weekend Njema
George_Porjie you are wrong, The farmer you half correct:
Kubemeda mtoto ni matokeo ya Mama na Baba wenye kichanga kufanya zinaa (kutembea nje ya ndoa yao) wakati kichanga kile bado kinanyonyeshwa. Hii dhana kwa tafsiri ya kisasa maana yake ni "malnutrition".
Endapo Mama ataendekeza ebeneke wakati anayonyesha most likely lishe kwa mtoto itapungua sana and equally endapo Baba ataendekeza "nyumba ndogo" kipindi hicho Mama atakuwa stressed na hataweza kumpatia mtoto lishe ya kufaa (esp kama anamnyonyesha unakuta hata maziwa hayatoki ifaavyo).
Kubemenda = Kwashakoo
Weekend Njema
kubemenda mtoto ni ile hali ya kufanya mapenzi na mama mjamzito aliyekaribu kujifungua say miezi 7.5 hadi 9, na kutoa mbegu za kiume ambazo huweza kumwathiri mtoto tumboni
mara nyingi mtoto aliyebemendwa anakua na mabaka mwilini meusi hivi, mara nyingi tumboni, kwenye mbavu au sehemu za mikono(watoto nilio wahi kuwaona)
Jf, the home of great thinker? Hii inatia shaka kwa majibu hapo juu. Waliogusia malnutrition na malezi hafifu wako right, walioongelea ngono , hizo ni misconception. Nimefanya thesis kwa hii kitu. Mwanzo wa neno ni pwani, ni inatokana na malezi hafifu ya kimlo kwa mtoto baada ya kuingiliwa na mapenzi mapya au stress kwa mlezi wa mtoto.
Haina tofauti na maana ya kwashiorkor, ambayo mwanzo wake ni ghana, ikiwa na maana ya mtoto aliyetelekezwa baada ya mama kupata mtoto mwingine kabla ya aliyefuatishwa kukua, au kuweza kutokuwa tegemezi. Ingieni google wakubwa.
IELEWEKE KUWA KUFANYA MAPENZI NA MAMA MJAMZITO, HAKUNA UHUSIANO NA MTOTO ATAKAYE ZALIWA KAMA YAI LILISHATIWA KIINI CHA KIUME. MADHARA PEKEE NI KAMA MAMA ANACERVICAL INCOPETENCE[SHINGO YA KIZAZI ILIYOLEGEA] . JF HII IWE MADA MAALUMU TUWATOE WATU MITONGOTONGO.
Kubemendwa sio malnutrition. Wala havina uhusiano. Mtoto anaweza akawa anapata chakula vizuri kabisa na bado akabemendwa. Kwangu mimi na ambavyo nafahamu ni ile hali ya mama kufanya mapenzi na kumnyonyesha mtoto baada ya muda usio mrefu. Inakuwaje. Mama anayenyonyesha anapofanya mapenzi (katika hali ya kawaida, yaani staili ya kifo cha mende) kutakuwa na msuguano kati ya mwili wake (na hasa sehemu za matiti) na ule wa mwanaume. Msuguano huo utasababisha joto la maziwa ndani ya matiti kuongezeka (kwa lugha nyingine maziwa hayo yanakatika, yanakuwa hayako katika hali ya kawaida ya utulivu). Sasa kabla maziwa hayo ndani ya matiti hayajakaa sawa, mtoto akanyonyeshwa, lazima ataharisha, tena ataharisha maziwamaziwa. Kitendo cha kuharisha maziwamaziwa hivi ndio kinaitwa kubememdwa. Kwa hiyo inawezekana kabisa baba na mama ndani ya ndoa wakambemenda mtoto.
Kubemenda mtoto ni ile hali ya mama akiwa ananyonyesha mtoto alafu kitoto bado kidogo anapigwa mimba ingine basi mtoto hapo unambemenda.