kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,148
- 2,780
Nafasi gani ilikua,ulipata marks ngapi?Mm huwa ikihama toka selected for oral interview mpaka selected for…. Na io kazi nilikwishaga ikosa
Nafasi gani ilikua,ulipata marks ngapi?Mm huwa ikihama toka selected for oral interview mpaka selected for…. Na io kazi nilikwishaga ikosa
Nafasi gani ilikua,ulipata marks ngapi?
Kwani inawezekana kujua Oral ulipata max ngapi?? Ilikua TRC Engineer
Nadhani maksi za oral ni siri yao
Tuwe na SubrahHabari wakuu, poleni na majukumu. Siku ya leo nimeingia ajira portal na kukuta mabadiliko fulani nikashindwa kuelewa japo Hii ni mara yangu ya 7 kuomba kazi utumishi.
Kwa wale mliokuwa mkikubaliwa for oral interview, hivi ile sentence huwa inabadilika? Mfano kwenye picha nilizoambatanisha, mwanzo ilikuwa selected for oral interview na leo baada ya kuingia nimekuta shortlisted.
NB: tumekwisha kufanya oral interview ya TRA. Na baada ya kufanya nimekuta neno shortlisted na mwanzo ilikuwa selected for oral interview.
Hapo kuna picha mbili tofauti. Position mbili za mwanzo ni picha ya kwanza ambayo niliona wakati nimefanya written
Na position mbili za mwisho ni muonekano wa baada ya kufanya oral
Mwenye ufahamu na hili tafadhali atujuze. Je ni kawaida kuwa hivyo au ni system tu imecheza kidogo
View attachment 2163132
View attachment 2163133
Dalili nzuri hiyo ila macho yako yawe kwenye placement kwenye ajira ya utumishi huko portal achana nakoImechange tena kutoka shortlisted kua selected
Je imekuwa tena selected for oral interview from shortlisted?
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Kwangu inaonyesha selected for oral interviewJe imekuwa tena selected for oral interview from shortlisted?
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
mara ya Kwanza si ilikuwa selected? au not selected?Kwangu inaonyesha selected for oral interview
Ilikua selected, ikaenda shortlisted then leo imerudi tena selected for oral.mara ya Kwanza si ilikuwa selected? au not selected?
Kwangu inaonyesha selected for oral interview
sawa mkuuIlikua selected, ikaenda shortlisted then leo imerudi tena selected for oral.
Imebadirika imekuwaje?Mm mwenyewe imebadikika hawa system inashida gani
Imerudi kuwa Selected kutoka shortlist kuna shida sehemu sio bureImebadirika imekuwaje?
Watajua wao ngj tusubili mkekaImerudi kuwa Selected kutoka shortlist kuna shida sehemu sio bure
Labda umekuwa selected kwa ajili ya ajira, shida iko wapi? Au wameandika selected for what?Imerudi kuwa Selected kutoka shortlist kuna shida sehemu sio bure
Sometimes hizi kazi ni shida tu zinatufanya tuzishobokee,leo niko kijiweni kwangy ba mvua inanyesha nikaona ugeni wa mabinti wawili wamelowana wanakuja kwangu,wakajitambulisha kuwa ni maofisa wa tra wako kwenye ukaguzi wa tin number nikiwauliza sasa mbona mnanyeshewa hivyo wakaniambia kuwa wana target hivyo inabidi wakomae coz mwezi ni kama umeisha vile.
Nimewahurumia sana.
Ofcoz kazi za tra hasa hawa tax management huwa naona wanatembea sana.Sometimes hizi kazi ni shida tu zinatufanya tuzishobokee,leo niko kijiweni kwangu na mvua inanyesha nikaona ugeni wa mabinti wawili wamelowana wanakuja kwangu,wakajitambulisha kuwa ni maofisa wa tra wako kwenye ukaguzi wa tin number nikiwauliza sasa mbona mnanyeshewa hivyo wakaniambia kuwa wana target hivyo inabidi wakomae coz mwezi ni kama umeisha vile.
Nimewahurumia sana.