Msemaji1234
New Member
- Dec 18, 2021
- 3
- 0
matokeo ya walioajiliwa wanayatoa lini mwenye details wakuu ya tra
matokeo ya walioajiliwa wanayatoa lini mwenye details wakuu ya tra
Keshomatokeo ya walioajiliwa wanayatoa lini mwenye details wakuu
duh nomaKesho
Ushabiwa Toka kule kuwa Huwezi kuona marks za Oral.Jaman matokeo ya oral, kuona passmark unaona wap?
Tuliaa kazi umeshapataaaJaman matokeo ya oral, kuona passmark unaona wap?
Jaman matokeo ya oral, kuona passmark unaona wap?
basi sawa ngoja nisubiriHamna status yoyote wew sbria mkeka kama ulifaulu utaitwa kazini usijichoshe sana ndugu
daaah bora nipate muongozo hapa maana niliona inanichanganya tu 😂😂😂😂😂😂wizy kumbe hili jambo lilishawahi kuuliziwa humu
Kwa muongozo niliopata ni kawaida tu huwa inabadilika badilika hiyo statusNimeona leo nikashtuka sana... Mimi hofu ni kwamba kazi yenyewe nimeipata tayar lakini status kwa portal imeacha kusoma selected for oral interview mpaka shortlisted.
Mimi naona ukishafika oral, mambo ya status ya my application haina ishu tena kwani matokeo ya oral ni placements tu, ikitoka na ukaona haupo ujue ama umetemwa au uko benchi kwanzaKwa muongozo niliopata ni kawaida tu huwa inabadilika badilika hiyo status
😂😂😂😂hahhhhh mambo ya kukaa benchi kama mlete mzunguMimi naona ukishafika oral, mambo ya status ya my application haina ishu tena kwani matokeo ya oral ni placements tu, ikitoka na ukaona haupo ujue ama umetemwa au uko benchi kwanza
Nimekubali Shortlisted=PlacementMimi naona ukishafika oral, mambo ya status ya my application haina ishu tena kwani matokeo ya oral ni placements tu, ikitoka na ukaona haupo ujue ama umetemwa au uko benchi kwanza
Unakusudia nini mkuuNimekubali Shortlisted=Placement
Alhamdulillah 🙏🙏
Umepata kwenye hii placement???status ilikuandikiaje mkuu??Nimekubali Shortlisted=Placement
Alhamdulillah 🙏🙏