Kubadilika kutoka “selected for oral interview” kuwa “shortlisted interview”

Hata Mimi imebadilika ila wale wa Customs haijabadilika,,,Mimi nachojua kama not selected inatakuwa ibaki ivyoivyo,,kama selected inatakiwa ibaki ivyoivyo,,,kurudi kwenye shortlisted maana yake kuna circumstances flan,,,Wale wa customs wanasema wao ipo vilevile Selected and not selected,,,why was Tax iwe shortlisted?
Hata Custom Assistant wamewekewa hivyo hivyo shortlisted . Kutoka Selected for Oral.
 
Hivi haya matokeo yanatoka baada ya muda gani? I mean oral ikishafanyika matokeo ya waliopangiwa nafasi za kazi yanatoka baada ya siku ngapi? Pia nataka kujua hivi zile alama unazopata kwenye written huwa zina effect kwenye overall ya matokeo?

I mean kwa mfano kwenye written umepata 80% ila kwenye oral ukapata 50% Je kuna uwezekano wa alama za kwenye written zikakubeba?
 
Hivi haya matokeo yanatoka baada ya muda gani? I mean oral ikishafanyika matokeo ya waliopangiwa nafasi za kazi yanatoka baada ya siku ngapi? Pia nataka kujua hivi zile alama unazopata kwenye written huwa zina effect kwenye overall ya matokeo? I mean kwa mfano kwenye written umepata 80% ila kwenye oral ukapata 50% Je kuna uwezekano wa alama za kwenye written zikakubeba?
Hapo kwenye matokeo yanatoka lini mm mwenyewe nasubiri majibu Ila kuhusu Alama za oral naamini zinajitegemea km ulifanya Vizuri Oral Basi tegemea mambo mazuri
 
Mliofanya oral utumishi tupeni maelekezo wa zoezi zima kuanzia kuingia hadi kutoka
Ukifka eneo la tukio unakaguliwa vyeti na kitambulisho, unakabadhi simu zako zote na saa smart kama unayo kwa wahusika kwa kuandika majina yako ,unapangiwa eneo la kusubiri usahili kama chumba maalumu ,zamu yako ikifika unaelekea chumba cha usahili kufanyiwa usahili wa mahojiano ukimaliza unapewa simu zako unachapa lapa eneo la usahili utakiwi kuonekana.
 
Habari wakuu, poleni na majukumu. Siku ya leo nimeingia ajira portal na kukuta mabadiliko fulani nikashindwa kuelewa japo Hii ni mara yangu ya 7 kuomba kazi utumishi.

Kwa wale mliokuwa mkikubaliwa for oral interview, hivi ile sentence huwa inabadilika? Mfano kwenye picha nilizoambatanisha, mwanzo ilikuwa selected for oral interview na leo baada ya kuingia nimekuta shortlisted.

NB: tumekwisha kufanya oral interview ya TRA. Na baada ya kufanya nimekuta neno shortlisted na mwanzo ilikuwa selected for oral interview.

Hapo kuna picha mbili tofauti. Position mbili za mwanzo ni picha ya kwanza ambayo niliona wakati nimefanya written

Na position mbili za mwisho ni muonekano wa baada ya kufanya oral

Mwenye ufahamu na hili tafadhali atujuze. Je ni kawaida kuwa hivyo au ni system tu imecheza kidogo

View attachment 2163132
View attachment 2163133
ZA NDAAAAAANI KABISA! Kuna interview nyingine ina.....
 
ZA NDAAAAAANI KABISA! Kuna interview nyingine inakuja. Vijana mliofanya oral siku Ile mlizingua wengi. Na ratio ya serikali ni 3 candidates for 1 position. So kaeni mkao wa kula kwa wale mliopata 49.8 mpaka 45. Ngwe ya pili yaja
Uko serious boss?
 
Habari wakuu, poleni na majukumu. Siku ya leo nimeingia ajira portal na kukuta mabadiliko fulani nikashindwa kuelewa japo Hii ni mara yangu ya 7 kuomba kazi utumishi.

Kwa wale mliokuwa mkikubaliwa for oral interview, hivi ile sentence huwa inabadilika? Mfano kwenye picha nilizoambatanisha, mwanzo ilikuwa selected for oral interview na leo baada ya kuingia nimekuta shortlisted.

NB: tumekwisha kufanya oral interview ya TRA. Na baada ya kufanya nimekuta neno shortlisted na mwanzo ilikuwa selected for oral interview.

Hapo kuna picha mbili tofauti. Position mbili za mwanzo ni picha ya kwanza ambayo niliona wakati nimefanya written

Na position mbili za mwisho ni muonekano wa baada ya kufanya oral

Mwenye ufahamu na hili tafadhali atujuze. Je ni kawaida kuwa hivyo au ni system tu imecheza kidogo

View attachment 2163132
View attachment 2163133
ZA NDAAAAAANI KABISA! Kuna interview nyingine inakuja. Vijana mliofanya oral siku Ile mlizingua wengi. Na ratio ya serikali ni 3 candidates for 1 position. So kaeni mkao wa kula kwa wale mliopata 49.8 mpaka 45. Ngwe ya pili
Uko serious boss?
Ulifanya oral?
 
ZA NDAAAAAANI KABISA! Kuna interview nyingine inakuja. Vijana mliofanya oral siku Ile mlizingua wengi. Na ratio ya serikali ni 3 candidates for 1 position. So kaeni mkao wa kula kwa wale mliopata 49.8 mpaka 45. Ngwe ya pili

Ulifanya oral?
Ndio mkuu,nilifanya TMO.
 
Hivi haya matokeo yanatoka baada ya muda gani? I mean oral ikishafanyika matokeo ya waliopangiwa nafasi za kazi yanatoka baada ya siku ngapi? Pia nataka kujua hivi zile alama unazopata kwenye written huwa zina effect kwenye overall ya matokeo? I mean kwa mfano kwenye written umepata 80% ila kwenye oral ukapata 50% Je kuna uwezekano wa alama za kwenye written zikakubeba?

MATOKEO WALISEMA SIKU ILE YATATOKA NDANI YA WIKI TATU

PASS MARK YA UTUMISHI NI 50% INGAWAJE KAMA WAPO WENGI WALIFIKISHA HIYO ALAMA NA NAFASI NI CHACHE BAS WATATUKUA WALIOPATA MARKS ZA JUU ZAIDI MPAKA IDADI YAO ITAKAPOKAMILIKA

KUHUSU KUANGALIA MARKS ZA WRITTEN NA ORAL BADO HAIPO WAZI COZ NI SIRI YAO WANAOSHIRIKI KUPASISHA!!

 
ZA NDAAAAAANI KABISA! Kuna interview nyingine inakuja. Vijana mliofanya oral siku Ile mlizingua wengi. Na ratio ya serikali ni 3 candidates for 1 position. So kaeni mkao wa kula kwa wale mliopata 49.8 mpaka 45. Ngwe ya pili

Ulifanya oral?
Unamaanisha au just kuwafariji tu vijana?utumishi sijawahi kusikia huo utaratibu
 
Mm huwa ikihama toka selected for oral interview mpaka selected for…. Na io kazi nilikwishaga ikosa
 
Back
Top Bottom