Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,105
- 165,329
hahahahahah.......ukiolewa na bwana mwingine inakuwaje?
Nadhani nabadilisha tena jina ha ha ha
hahahahahah.......ukiolewa na bwana mwingine inakuwaje?
Ndo shida hiyo ya kubadili jina anaishi na mme mwingine anatumia jina la mwingineGraca Machel alikuwa mke wa rais wa Mozambique, Samora Machel. Aliolewa na Madiba baada ya mumewe kufariki.
Ndo shida hiyo ya kubadili jina anaishi na mme mwingine anatumia jina la mwingine
akuuuuuu baba ni mmoja wame ni wengi
Haha. atoto umemwacha? Ila kama unamkubali Heaven Sent kiasi hicho, fanya mambo tu mzee. May the best man win, patner.
?Graca mpaka leo anaitwa Graca Machel hata baada ya kuolewa na Madiba
Sikuhizi anaitwa Graca Machel Mandela
So you two are partners now![]()
![]()
?
Ni vizuri lknini,doh hawa wanaume wa siku hizi vigeugeu sana. Yaan unaweza kukaa nae vizuri kwa miaka ya mwanzo ikafika mahali akaanza kukubadilikia mara wanawake mara kipondondo ilimradi amekunyanyasa tuu. Siwaamini sana hawa watu jamani.
Hivi nilivyo ni kwa sababu ya baba yangu, kubadili jina ni kama kumsaliti. As a tribute to him, i will never change my name.
Hivi kwani wewe umeolewa?
hahahaaaaa...hilo nitakujibu ukiwa peke yako.
just blackAre you just black?
Not whatchu thinking. Don't be playing me like this now. I will give you up.
Habari zenu wakuu,
Natamani kufanya hivyo baada ya harusi yangu na mr right wangu. Mama yangu alibadili majina baada ya kuolewa na baba na mpaka sasa bado anatumia majina ya baba.
Pia nimechunguza sana mama zetu wengi wanaitwa kwa majina ya waume wao mfano regina lowasa, Salma Kikwete na wengineo.Naona kama ni heshima sana kwa mume but sijajua madhara ya kufanya hivyo. Pia wazazi sijui watamind mimi kufanya hivyo.
Naombeni busara zenu wandugu.
Matusi hayaruhusiwi please.
Asanteni
Na Machel alikuwa nani? Baba yake?
Whaaat? Parlay mah' man coz I'm in... We have a deal.