Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,105
- 165,329
Zamani akina baba walikuwa wameenda shule wakati wakina mama walikua shule ndogo, ndio maana waliona fahari kuitwa mrs fulani, hata familia ya mwanamke walikuwa wanaona fahari mtoto wao kutumia jina mrs fulani tu kwasababu labda mwanaume ana pesa au cheo nk.
Tofauti na siku hzi, wanawake wanaenda shule sambamba na wanaume, kweli mwanaume kanikuta nipo kazini nianze kuangaika kubadili jina, khaa!!! Natafuta tuzo???
Mahaba sio kwenye jina hata.
Dida shaibu
dida wa juma
dida wa yahaya
dida wa hamisi
dida wa edzen
hivi sahivi anaitwa dida wa nani?make hizo zote ni ndoa zake