Kiluuj
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 692
- 278
Habari zenu wakuu,
Natamani kufanya hivyo baada ya harusi yangu na mr right wangu. Mama yangu alibadili majina baada ya kuolewa na baba na mpaka sasa bado anatumia majina ya baba.
Pia nimechunguza sana mama zetu wengi wanaitwa kwa majina ya waume wao mfano regina lowasa, Salma Kikwete na wengineo.Naona kama ni heshima sana kwa mume but sijajua madhara ya kufanya hivyo. Pia wazazi sijui watamind mimi kufanya hivyo.
Naombeni busara zenu wandugu.
Matusi hayaruhusiwi please.
Asanteni
Mambo ya kawaida huku kwetu. Inakuwa rahisi kurithi mali ya mumeo endapo atatangulia.