Na Machel alikuwa nani? Baba yake?Graca mpaka leo anaitwa Graca Machel hata baada ya kuolewa na Madiba
Na Machel alikuwa nani? Baba yake?Graca mpaka leo anaitwa Graca Machel hata baada ya kuolewa na Madiba
wakati mwingine ni wanawake wenyewe wanataka kama jina la mume linastatus.....ila kama ndio kajamba nan...ligi inaanza mume akitaka mke abadiliDada hapa nazungumzia kwa mume wa ndoa.mi hua siamini ktk negativity.naamini nitakua na mume mwema mambo ya kuachana sijawahi kuyafikiri na hayatatokea kwa jina la Yesu
Dada hapa nazungumzia kwa mume wa ndoa.mi hua siamini ktk negativity.naamini nitakua na mume mwema mambo ya kuachana sijawahi kuyafikiri na hayatatokea kwa jina la Yesu
Dada hapa nazungumzia kwa mume wa ndoa.mi hua siamini ktk negativity.naamini nitakua na mume mwema mambo ya kuachana sijawahi kuyafikiri na hayatatokea kwa jina la Yesu
siku ukipata bwana mwenye ststus na mapesa kama yangu we mwenyewe utaanza kujiita apologize lady kayamanKarne hii kubadili jina labdaa!
siku ukipata bwana mwenye ststus na mapesa kama yangu we mwenyewe utaanza kujiita apologize lady kayaman
yeah ndo hiko hivyo... ila kwa kizazi cha wanawake wasomi wataona ni uonevu na hawastahiri kufanya hivyo!!! sometimes education ruins usnaona kama ni heshima kubwa sana halafu kiafrica zaidi Ina sound vizuri sana
Teh teh..Hope for the best,prepare for the worst..
Kwani hilo SALT sio la mme wako??
Amen.
Wasichana wa kizazi hiki wamepotezwa na utandawazi..mtu unawezaje kufikiria kuachana wakati ndoa ndiyo inaanza? kweli kabisa????
Habari zenu wakuu,
Natamani kufanya hivyo baada ya harusi yangu na mr right wangu. Mama yangu alibadili majina baada ya kuolewa na baba na mpaka sasa bado anatumia majina ya baba.
Pia nimechunguza sana mama zetu wengi wanaitwa kwa majina ya waume wao mfano regina lowasa, Salma Kikwete na wengineo.Naona kama ni heshima sana kwa mume but sijajua madhara ya kufanya hivyo. Pia wazazi sijui watamind mimi kufanya hivyo.
Naombeni busara zenu wandugu.
Matusi hayaruhusiwi please.
Asanteni
Wajuzi wa mambo twasema maza hakua na mahaba kwa mzee madiba ndo maana hakuchange jinaGraca mpaka leo anaitwa Graca Machel hata baada ya kuolewa na Madiba
Kwani kubadili jina maana yake huwa ni nini? Au ndio mapenzi kunoga?
ukiachika unabadili tena au unafanyaje?
Hahaha. Umetisha bro. Hebu atujibu. Na mimi nitumie nafasi hii kumuuliza Heaven Sent
kuhusu hiyo Sent.