Kubadili majina baada ya kuolewa

Kubadili majina baada ya kuolewa

Ungetaka kubaki na jina lako basi usingeolewa! Ndoa zina taratibu zake -faida na hasara zake. Hata Mungu alimuumba mtu mke mtu mme akawaita JINA lao ADAM (Soma Mwanzo 5:2). Wote wawili (mme na mke) walipewa jina moja ADAM na Jina la Eva lilitoka kwa Adam -kwa maana ya kuwa Adam ndiye aliyempa mkewe jina la Eva (Hawa) na siyo Mungu.

Ubakie na jina la baba yako kisha tukuite Mrs nani? Daaa!


Asipoelewa hapa atakuwa mzito kuelewa ukweli
 
Back
Top Bottom