KUB Mbowe anapwaya bungeni?

KUB Mbowe anapwaya bungeni?

Mbowe huyu wa Lowassa sio yule tuliyemjua.

Hapo umenena. Hawezi kuwa consistency hata kidogo. Unajua ufisadi ni mtandao ambao haujali chama cha siasa. Lazima Mbowe aogope kwa mfano kuupinga ufisadi ndani ya serikali ya CCM kwa sababu hana uhakika kama Lowasa hayupo kwenye hiyo network au mtandao wa ufisadi huo. Ukidhani kuwa network ya Karamagi, Chenge, Rostam Aziz na Lowasa imefutika eti kwa vile Lowasa kahama CCM ni kupotoka.
 
Sasa ni dhahiri udhaifu wa Mbowe unaonekana wazi......na hii inasababishwa kwa kutokuwepo kwa Dr Slaa
Huyo dr slaa alikuwa anaingia bungeni,mbona mnakuwa wajinga kiasi hiki
 
Heri ya Muungano wadau.

Nimejiuliza tu,nikaona ni vema pia nipate maoni kutoka kwa werevu wa mambo.Ila mimi kwa upande wangu nimeona ya kuwa KUB,Mbowe amepwaya na abadilishwe ili tupate KUB mbadala mwenye weledi.

Na hapa sio jambo la Aibu amwachie Rwakatare Wilfred ambaye alipata kuwa KUB (2000/2005).

Japo kulikuwa na ugumu lakini mara kadhaa aliongoza kambi ya upinzani iliyoweza kuwashawawishi wabunge wa CCM kuunga mkono hoja dhidi ya serikali.

Ikumbukwe tu mara kadhaa KUB wa sasa hayupo "consistent" hili linatokana na sababu kwamba yeye kama kiongozi huyumbishwa na mawazo ya wasaidizi wake yaani hana anachosimamia kama kiongozi,ikitokea Lisu,Kubenea,Mnyika wakatoa ushauri(miluzi) hukosa uamuzi.

Kakosa "Focus" na kutengeneza hoja endelevu ili kuleta matokeo na badala yake anajikita na vijihabari na matukio yasiyo na msingi.

Uwezo wake wa kuchimba ripoti na kuwasilisha mada za kitaalam kwenye hadhira ni mdogo..mara nyingi huongea kwa kufoka foka (povu),hana "details" na mambo mengi ya msingi na sio msomaji.

Ni hayo tu,nipo tayari kukosolewa...nimelazimika kuleta haya kwa sababu KUB ni mtumishi wa umma na analipwa kwa kodi zetu.
uvccm kuishauri CDM ni ndoto,mbowe kazia hapo hapo.
 
Hapo umenena. Hawezi kuwa consistency hata kidogo. Unajua ufisadi ni mtandao ambao haujali chama cha siasa. Lazima Mbowe aogope kwa mfano kuupinga ufisadi ndani ya serikali ya CCM kwa sababu hana uhakika kama Lowasa hayupo kwenye hiyo network au mtandao wa ufisadi huo. Ukidhani kuwa network ya Karamagi, Chenge, Rostam Aziz na Lowasa imefutika eti kwa vile Lowasa kahama CCM ni kupotoka.
Hapo bado kuna network ya mkapa na JK
 
Sasa hapo mtoa uzi kakosea nn mkuu
Toa boriti kwenye jicho lako ndo utoe kitanzi kwenye jicho na mwenzako. Wapinzan au Mbowe anakuhusu nini?

Acha Mawazo mgando leo ni public holiday naona unataka ulipwe 7 x 2 . Tumekustukia
mkuu sio kila mda ni kuzungusha mikono tu
 
Heri ya Muungano wadau.

Nimejiuliza tu,nikaona ni vema pia nipate maoni kutoka kwa werevu wa mambo.Ila mimi kwa upande wangu nimeona ya kuwa KUB,Mbowe amepwaya na abadilishwe ili tupate KUB mbadala mwenye weledi.

Na hapa sio jambo la Aibu amwachie Rwakatare Wilfred ambaye alipata kuwa KUB (2000/2005).

Japo kulikuwa na ugumu lakini mara kadhaa aliongoza kambi ya upinzani iliyoweza kuwashawawishi wabunge wa CCM kuunga mkono hoja dhidi ya serikali.

Ikumbukwe tu mara kadhaa KUB wa sasa hayupo "consistent" hili linatokana na sababu kwamba yeye kama kiongozi huyumbishwa na mawazo ya wasaidizi wake yaani hana anachosimamia kama kiongozi,ikitokea Lisu,Kubenea,Mnyika wakatoa ushauri(miluzi) hukosa uamuzi.

Kakosa "Focus" na kutengeneza hoja endelevu ili kuleta matokeo na badala yake anajikita na vijihabari na matukio yasiyo na msingi.

Uwezo wake wa kuchimba ripoti na kuwasilisha mada za kitaalam kwenye hadhira ni mdogo..mara nyingi huongea kwa kufoka foka (povu),hana "details" na mambo mengi ya msingi na sio msomaji.

Ni hayo tu,nipo tayari kukosolewa...nimelazimika kuleta haya kwa sababu KUB ni mtumishi wa umma na analipwa kwa kodi zetu.
Mwenzetu unaliona wapi BUNGE? Au ni hizo clip zilizochujwa unaita ni mjadala wa Bunge?CCM YETU.
 
HOJA ZA MBOWE BUNGENI ZAJIBIWA

#Mosi; "Kwamba hakuna mpango wa maendeleo wa serikali hadi sasa. Yani serikali inaendeshwa kwa matukio. Hakuna mpango mkakati unaotumika kuongoza masuala mbalimbali ya serikali. Yani Rais Magufuli anataka Tanzania ifike mahali ambapo hata yeye hajui ni wapi. Washauri wake wameshindwa kumpa 'Focus'."
JIBU: Mbowe amekurupuka vibaya huenda kuliko kiongozi yeyote wa upinzani Bungeni ktk dunia hii:Tanzania ina Dira ya Taifa 2025 ambayo Mbowe anaijua na inaendelea kutuongoza kuhusu kule tunakotaka kwenda.2.Tanzania ina katiba ambayo Mbowe anaijua na ndiyo inayoongoza masuala ya nchi kwa sasa na ndiyo iliyomuingiza hata yeye Bungeni Dodoma alipo sasa. 3.Tanzania ina Bajeti ya mwaka ambayo Mbowe na wenzake walishiriki kuipitisha June mwaka jana na ndiyo Rais Magufuli anayoitumia kuendesha nchi kwa sasa akiongeza na ubunifu na uchapakazi wake.4.Rais anatokana na CCM na ana ilani anayoitekeleza na ambayo aliiuza kwa wananchi wakaikubali na wakamwamini 5.Chini ya Sheria ya Majukumu ya Mawaziri na nguvu alizopewa na Katiba Rais anaendesha nchi,anateua watendaji kumsaidia na anawapa makukumu ya kuyatekeleza.5.Mpango wa miaka 5 wa Kwanza wa Maendeleo bado unatekelezwa na unaisha Juni mwaka huu na Mpango mpya umeshawasilishwa Bunge-kwa haya tu machache na nchi inavyozidi kwenda ikiwa na amani na utulivu na wananchi wakiwa na matumaini tele, ukiachilia mbali, sheria na taasisi mbalimbali na mipango mingine ya mda wa kati inayoendelea kutekelezwa, kwa mtu kusema Rais JPM hana Mpango na eti anaongozwa na matukio ni kauli inayoweza kutoka tu kwa mtu aliye katika usingizi mnono tena wa pono!!!
#pili "kwamba Waandishi wa habari kuzuiwa kuingia Bungeni ni ukiukwaji wa haki za msingi za kikatiba. Kwa mujibu wa Katiba ya nchi ibara ya 18 na 19 haki ya mtu kupata habari."
Jibu: Kwanza si kweli na anajipotosha.Hakuna mwandishi aliyezuiwa kuingia Bungeni. Kama ni mjadala wa live huu kwanza kimsingi ulishakwisha..kuurejesha tena ndio mfano halisi wa watu wanaokwenda kwa matukio-Ukawa hapa wamedhihirisha wanakwenda na matukio hawana plan yoyote kwa sasa-wamevurugwa.Lakini juu ya hoja kuwa Ibara tajwa inatoa uhuru wa habari ni sawa lakini Je,uhuru wa habari ulioelezwa hapo una maana anayotaka Mbowe tuamini kuwa hauna mipaka wala ukomo...kama anataka tuamini hivyo Je,vikao vya ndani vya Chadema kwa nini havioneshwi live kwa manufaa ya nchi,demokrasia lakini pia na kwa manufaa ya wanachama wa Ukawa.Mbowe aache kwenda na matukio.Bunge limeunda studio waandishi wamepunguziwa gharama a kuweka kila TV kamera zake na inatuma picha za kisasa kabisa lakini pia wanahabari wa vyombo vyote wapo Bungeni na kila siku wanaandika matukio.Mbowe aache siasa za matukio haki ya kupata habari sio lazima iwe live bali mabingwa wa eneo hilo na taaluma hiyo ya habari ambayo yeye haijui wanapigania habari zisibinywe baas na sio lazima iwe live...kama Mbowe anabisha hajakurupuka ataje kifungu na akinukuu kinachosema habari lazima iwe live.
#Tatu; "Kupinga maamuzi ya Ofisi ya Spika kupunguza matumizi ya bajeti ya Bunge na kurudisha fedha serikalini bila kushirikisha bunge. Hata kama Spika alitaka kupunguza bajeti ya Bunge alipaswa kushirikisha Bunge kwanza ili wajadili na kufikia makubaliano, sio kujiamulia kibabe.!

Jibu: Hoja hii nayo ni muflisi kabisa na inaweza kujibiwa kwa ujumla wake kwamba Bajeti iliyopitishwa na inayoyumika sasa ya Serikali ya Awamu ya 5 usimamizi na utekelezaji wake uko chini ya Rais na Waziri wa Fedha.Sheria ya Usimamizi wa Bajeti (Appropriation Act) na kwa hapa nazungumzia ya 2015 kifungu cha 6 Waziri wa Fedha anapewa mamlaka (baada ya maagizo au mashauriano ya ndani Serikalini) kuhamisha matumizi ya fedha yoyote au kuzuia kutumika kwa fedha yoyote iliyotengwa ktk Bajeti kisha akaihamishia katika matumizi mengine ya Serikali.Tofauti na changa la macho analotaka kutuletea Bw. Mbowe kwamba kwa mfano wa fedha za Bunge zilizopelekwa ktk matumizi mengine eti Bunge lingejadili kwanza kifungu hiki cha 6 kinamsuta kinasema tofauti
 
Sioni upanguzi wa hoja wala hoja za maana katika maelezo haya zaidi ya ujinga mwingi na upumbavu ndani yake.

Ili ionekane kapanguwa weka vifungu halisi vya katiba badala ya kuname kifungu ilhali hujakiandika.

ujinga nikazi.
 
Du,huyu pm nilimwamini ila sasa naona anaanza kujichanganya
 
Mbowe na Bi Helleni wataitisha mkutano wa waandishi wa habari kusema haki za binadamu zimevunjwa....
 
Back
Top Bottom