Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Wewe endelea kutega panya kwenu mbekenyeraNafikiri sasa umeweza kumtofautisha ZZK...na wajomba zako Lema na Mbowe!...umesikiliza hoja kuntu za Zitto?
Wewe endelea kutega panya kwenu mbekenyeraNafikiri sasa umeweza kumtofautisha ZZK...na wajomba zako Lema na Mbowe!...umesikiliza hoja kuntu za Zitto?
Dogo pumzi imekuishia.Wewe endelea kutega panya kwenu mbekenyera
Huyo Dr mihogo kwann usimfuate aliko? halafu sie tunamuamini mbowe acheni ujingASasa ni dhahiri udhaifu wa Mbowe unaonekana wazi......na hii inasababishwa kwa kutokuwepo kwa Dr Slaa
Mbona huna hoja hapo zaidi umeonesha chuki tuJikite kwenye hoja mkuu,hasira zinaziba ufahamu.
What do you expect from an F4F?Sasa ni dhahiri udhaifu wa Mbowe unaonekana wazi......na hii inasababishwa kwa kutokuwepo kwa Dr Slaa
Mkuu ni chuki ipi?...fafanua hoja yako,la sivyo unaonyesha hasira zako.Mbona huna hoja hapo zaidi umeonesha chuki tu
Mkuu ni chuki ipi?...fafanua hoja yako,la sivyo unaonyesha hasira zako.Mbona huna hoja hapo zaidi umeonesha chuki tu
kamanda muda umetoa jibu hakika Mbowe anaizika Chadema.Kwakweli nikisoma majibu ya hawa wana CCM mufilisi wa humu JF nikajumlisha na hayo majibu ya hovyo aliyotoa Kassim Majaliwa nikajumlisha na michango ya Joseph Msukuma, Halima Bulembo na Juma Nkamia najiridhisha kuwa CCM ni wamoja kwenye vihoja na CCM ni ileile!
Nani kampa sumu MANGULA? kwanini watu walikatazwa kwenda kumuona? Kwann mambo sasa hajawahoji waliokuwepo kwenye kikao na ni baada ya katazo la mwenyekiti?Nafikiri sasa umeweza kumtofautisha ZZK...na wajomba zako Lema na Mbowe!...umesikiliza hoja kuntu za Zitto?
Wakati umetoa jibuKitendo cha Zitto kuibuka jana na tamko almost similar na lile la Mbowe linaashiria ombwe la KUB kwenye bunge la awamu ya tano.
yaani zitto aliona Mbowe hajatosha kwa hoja...
Dogo wakati umeshatoa majibuKwakweli nikisoma majibu ya hawa wana CCM mufilisi wa humu JF nikajumlisha na hayo majibu ya hovyo aliyotoa Kassim Majaliwa nikajumlisha na michango ya Joseph Msukuma, Halima Bulembo na Juma Nkamia najiridhisha kuwa CCM ni wamoja kwenye vihoja na CCM ni ileile!