Kuanzisha Ofisi ya Betting

Kuanzisha Ofisi ya Betting

De Opera

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2013
Posts
828
Reaction score
1,777
Wakuu, heri ya xmass na mwaka mpya? Natumaini mnaendelea vizuri!
Naomba kwa anayeweza kufahamu namna ninaweza kuanzisha ofisi ya betting, kama wakala au inakuaje. Sina ufahamu kuhusu hii. Nipitie wapi, nahitaji nini, vigezo, na mambo mengine yanayoweza kunifanya nikamilishe hii.

Ninayo frem yangu maeneo, nataka niweke betting humo.

Ahsanteni sana!
 
Mkuu naona unataka kuwa wakala wa kutumalizia hata tulichobaki nacho.
Kwa kampuni ya merdian kuna kaugumu sana
Lakn kwa upande wa galsport. Playmaster na premierbet hao ni rahisi hususani ukiwa na vitendea kazi vyako kama computer na skrini za kutosha.. Ukiwa na hvo vitu wenyewe wanakuuzia mifumo yao na kuna makubaliano mnaingia nao

LA MSINGI NENDA KWENYE OFISI ZAO KUU ZILIZOPO KARIBU NA WEWE.
 
Mkuu naona unataka kuwa wakala wa kutumalizia hata tulichobaki nacho.
😀😀 Mkuu, najua na wewe utakula hasa ukija kuweka mkeka kwangu pindi nikikamilisha hii. Ahsante sana mkuu. Maana ninahisi mlolongo mrefu, usajili, kibali, zile mashine za kufyatua mikeka, na mashine za kufyatua lists za mechi mbalimbali.
 
Kwa premier bet nadhani mkiingia makubaliano faida ni 60 kwa 40 spin itakulipa sana utarudisha pesa yako chap sana kwenye spin
 
Back
Top Bottom