pointlesssssssssssssssssssss................!!!!!!!!!!!!!
Nguvu zao ni za soda tu, na kila siku wanajitahidi kuzua jambo na kisha baada ya siku chache wanasahau na kulianzisha jingine kabla ya lile la mwanzo halijaisha.wanavizia tu mada mitaani na kuikuza. angalia Maandamano nchi nzima yamekwisha kwa ajili ya babu wa Loliondo,Tifu la Arusha limekufa kwa ajili ya Nyamongo, Nyamongo nayo imekufa kwa ajili ya Posho,Posho nayo inakufa kwa kuwa Dr Slaa ameshindwa kuisusa, mada yao mpya ni wabunge na mawaziri kurubuniwa kuhusu madeni ya mashirika ya umma ambayo mh. Zitto yu taabani kulielezea bunge uhujumu huo. Watakoma.
MUNGU na akulaani, ulaaniwe!teh teh wengi wenu dhiki ndo zinawasumbua msiilaumu ccm walaumuni wazazi wenu ndo walikuwa wazembe kutokuwa na elimu ndo mana mpo hapo saivi mnabwabwaja mkiamini padri may be atawakumbuka kwenye ufalme wake
Unajua hizo pesa za Ruzuku zinapotoka? Au unaropoka tu
kama ndo hivyo kweli ccm ni chama mama..Zinatoka CCM kwa mafisadi
kama ndo hivyo kweli ccm ni chama mama..
Naona mtoto wa masaki unawaza kwa kutumia makamasi badala ya ubongo,kijana wa NAPE vipi MKWEREE wenu mbona hashukuru wananchi kwa kumpa kura kama DR SLAA anavyofanya?kila siku safari hazimwishi za kwenda ULAYA huko ndiyo watanzania wapo,au anaenda kuwashukuru walivyomsaidia kuchakachua matokeo ya urais,KIKWETE KWENYE MABANGO,DR SLAA MIOYONI MWETU.A lose Dk Slaa, leo nimemuona kwenye TV anaongea na wanafunzi wa vyuo yaani yupo mkiwa sana! dhambi ya pesa za wananchi (Ruzuku) kufanya maandamano kisha wanagawana posho, naona inamtafuna na bado mpaka kieleweke
Na huo msemo ndo umetabiri anguko lao;Ari mpya, A,Nguvu mpya, Ngu,Kasi mpya, Ka.Ukiunganisha initials, Anguka.Na yule kiongozi wenu wa chama cha magamba aliyewahi kuitwa "mkombozi wa Watanzania" "Chaguo la Mungu" akaingia kwa gia kubwa ya "ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya" huwa anavumia wapi siku hizi? kwenye mabembea ya Ikulu!?
Nguvu zao ni za soda tu, na kila siku wanajitahidi kuzua jambo na kisha baada ya siku chache wanasahau na kulianzisha jingine kabla ya lile la mwanzo halijaisha.wanavizia tu mada mitaani na kuikuza. angalia Maandamano nchi nzima yamekwisha kwa ajili ya babu wa Loliondo,Tifu la Arusha limekufa kwa ajili ya Nyamongo, Nyamongo nayo imekufa kwa ajili ya Posho,Posho nayo inakufa kwa kuwa Dr Slaa ameshindwa kuisusa, mada yao mpya ni wabunge na mawaziri kurubuniwa kuhusu madeni ya mashirika ya umma ambayo mh. Zitto yu taabani kulielezea bunge uhujumu huo. Watakoma.
Upepo unaelekea wapi huu...??1.jamaa ameanza kuanguka kisiasa kiukweli havumi kama miezi michache iliyopita hii inatokana na sakata lake la posho ambapo nayeye inabidi ajivue gamba kwa hilo 2. Sasa anategemea maandamano tu sasa ili ajijenge kisiasahali yake tete mpaka anaandaa mikutano vichochoroni na vyuoni ili apate posho3.hata thread za kumuhusu yeye nw hazina mvuto kama zamani wachangiaji wachache sana.
Wewe unakanyagwa,watu tunalia mgao masaa24 wewe unareta utani Humu? Nenda kamwambie NEPI amshauri ngeleja ajivue gamba.mji mzima giza we unaanza reta mambo ya Kum Dis dr? Narudia tena mtoa thread unakanyagwa.1.jamaa ameanza kuanguka kisiasa kiukweli havumi kama miezi michache iliyopita hii inatokana na sakata lake la posho ambapo nayeye inabidi ajivue gamba kwa hilo 2. Sasa anategemea maandamano tu sasa ili ajijenge kisiasa hali yake tete mpaka anaandaa mikutano vichochoroni na vyuoni ili apate posho 3.hata thread za kumuhusu yeye nw hazina mvuto kama zamani wachangiaji wachache sana.
1.jamaa ameanza kuanguka kisiasa kiukweli havumi kama miezi michache iliyopita hii inatokana na sakata lake la posho ambapo nayeye inabidi ajivue gamba kwa hilo
2. Sasa anategemea maandamano tu sasa ili ajijenge kisiasa
hali yake tete mpaka anaandaa mikutano vichochoroni na vyuoni ili apate posho
3.hata thread za kumuhusu yeye nw hazina mvuto kama zamani wachangiaji wachache sana.