ifweero
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 7,957
- 1,327
Ukiacha gongo pengine utakuja na kitu cha maanakwasababu zamani watu walikuwa wanaogopa kutangaza sela za vyama vingine ata kuvaa sale za vyama vyaupinzani lakini sasahivi mambo yamebadilika tunaona makada na wanachama wa ccm wanaanza kuogopa kupita mijini wakiwa wamevaa sale za chama chao ...