mwa 4
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 3,390
- 751
Mbona mimi sijawahi kutishwa wewe unazungumzia watanzania gani wanaotishwa?na CCM wametumia swala la kuwatishia wananchi kwa kudhani watanzania ni wa mwaka arubaini na saba(1947 )baada ya vita vya pili vya dunia maana dunia yote ilikuwa inaogopa vita na something that relating to that
tumia akili vizuri watanzania wao ndiyo wanajua chama kipi kinawafaa na siku wakitaka kubadili chama wenyewe ndiyo wataamua siyo wewe mtu wa bavicha.