Kuagwa kwa Marehemu Dk. Mvungi - ITV

Kuagwa kwa Marehemu Dk. Mvungi - ITV

yaa ndo wanatoa last respects. wakuu wote wameenea baba mwenye nyumba ndo kakosekana. kibonde ndo mc
 
Huyu mbona anaongea kama teja?
Nani, huyu mdebwedo wa Zanzibar? Kama ni yeye hata huwa hanipi........... hotuba yake inakosa moral authority ingawa huko ndani kidogo kuna point. Hajawahi kunivutia kumsikiliza!!!!!!
 
Msajili wa vyama vya siasa anasema,kunyesha kwa mvua wakati wa kumuaga dr.Mvungi ni ishara kuwa hao waliomwua,walimuua mtu ambae hana hatia!
 
Prof. Costa Mahalu (UB); Hawatakuwa na Mhadhiri kama Dr. Mvungi.
 
Ujumbe wa padri Kabla ya kulala hakikisha umelala baada ya kutubu makosa(dhambi) kwa Mungu kqma kuna mtu kakuudhi/kakukosea msamehe nawe kama umemkosea omba akusamehe ili ulale na Amani yaeezekana ukawa ni mlalo wako wa mwisho hapa duniani
 
Hata huku kuna ngurumo na radi dalili kwamba aliyekufa hana hatia anapokelewa na malaika kwa shangwe.
 
Msajili wa vyama vya siasa anasema,kunyesha kwa mvua wakati wa kumuaga dr.Mvungi ni ishara kuwa hao waliomwua,walimuua mtu ambae hana hatia!

Mkuu inamaana wale vijana itakuwa waliwatuma wakamuue mjumbe mwingine wa tume na wakakosea wakamuua Dr. Mvungi?
Jamani wajumbe wa tume inayoongozwa na Jaji J. Warioba wapewe private security (bord gurd) maana uchunguzi unaonyesha muhusika bado anaishi.
 
Ujumbe wa padri Kabla ya kulala hakikisha umelala baada ya kutubu makosa(dhambi) kwa Mungu kqma kuna mtu kakuudhi/kakukosea msamehe nawe kama umemkosea omba akusamehe ili ulale na Amani yaeezekana ukawa ni mlalo wako wa mwisho hapa duniani

Nimeupenda huu ujumbe wa padri
 
Mvua inazidi kumwagika kweli kweli.. Hakika alikuwa mwema.
 
[h=2]profesa costa mahalu: DR MVUNGI NI SHUJAA NDIO MWASISI WA SERIKALI TATU[/h]
Akitoa salamu kutoka UB University of Bagamoyo amesema Dk. Mvungi ni shujaa yeye ndio aalipigania uwepo serikali tatu pia alipewa jina la utani yaani 'nguto' means leopard au chui.

Source ITV news
 
NILITOKWA NA MACHOZI TANGU NILIPOSIKIA KIFO CHAKE, HATA LEO MVUA INAMLILIA... Ee Mungu umweke pema peponi..
 
Back
Top Bottom