Pinda hajashiriki chakula cha bwana au ndo jana alibanjuka!!!
Kuna maamuzi ya kifisadi ameyafanya ndio yamemfanya asishiriki chakula cha bwana, ama sivyo angedondoka mbele ya kadamnasi !!!
Pinda hajashiriki chakula cha bwana au ndo jana alibanjuka!!!
Mvungi atakumbukwa kwa katiba mpya. Yafaa tumuenzi kwa mambo yafuatayo
1.0 Waziri kutokuwa mbunge,
2.0 Viti maalumu kutokuwepo,
3.0 Kupunguza baraza la mawaziri
4.0 Viongozi wote waliwahi kushika nafasi basi wasiishi nje ya nchi baada ya ukomo wa uongozi wao
5.0 Serikali ihakikishe katika kila rasilimali ya ardhi basi inamiliki japo 20% ikiwemo gesi na madini.
Eliuter aliuliwa, profesa mwakusi aliuliwa, dk Mvungi ameuliwa! Hawa wote ni WAKRISTO. Dk Ulimboka aliteswa, Absalom aliteswa, Mwangosi aliuliwa. Hawa wote na wengine niliowasahau wamefanyiwa hayo na nchi! WAKRISTO HAWA WAMEKOSA NINI? Je ni kwa sababu ya kuwa watetezi wa wanyonge?
jaji warioba anaongea
Kuna maamuzi ya kifisadi ameyafanya ndio yamemfanya asishiriki chakula cha bwana, ama sivyo angedondoka mbele ya kadamnasi !!!
Mvungi atakumbukwa kwa katiba mpya. Yafaa tumuenzi kwa mambo yafuatayo
1.0 Waziri kutokuwa mbunge,
2.0 Viti maalumu kutokuwepo,
3.0 Kupunguza baraza la mawaziri
4.0 Viongozi wote waliwahi kushika nafasi basi wasiishi nje ya nchi baada ya ukomo wa uongozi wao
5.0 Serikali ihakikishe katika kila rasilimali ya ardhi basi inamiliki japo 20% ikiwemo gesi na madini.
Mvua imeongezeka, Mh. Pinda anahuzunika, sura ameikunja hiyo yani huwezi mtazama mara mbili. Ni huzuni kubwa
Naona unataka kubadilisha hali ya hewa