msemakweli10
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 229
- 46
Uhuru wa kweli tutaupata kwa upanga? R.I.P Baba yetu
Kupitia kituo cha Television cha ITV, kazi ya kuagwa kwa gwiji la Sheria na Siasa ndo imeanza muda huu. Tufuatilie...
Kwa nini huna ADABU mkuu?CHADEMA andaeni maandamano ya kulaani kuuwawa kwa mvungi.
Kwa nini huna ADABU mkuu?
du!utani hata msibani.?Nawaona akina kova na pinda kwa mbaaali kidogo wakishindana shindano la uhandsome