Inaumiza sana. Lakini kuna haja ya kifo hiki kiwe sasa ni chachu ya mageuzi ya kweli.Yaaaani kwa kweli ukitafakar huu msiba unaumiza sana moyo
Imepangwa ikapangika. Inasisimua kwa kweli.Naona kila kitu kinaenda kama kilivyopangwa. Sasa wanatakiana amani kwa kufanya tendo la kushikana mikono. yani shuhuli imependeza sana japo inahuzunisha.
naomba link ya itv onlineITV online ina shida gani?... inasikika tu sauti but hamna picha. Eatv nayo
naomba link ya itv online
PM mbona ajashiriki meza ya bwana au ndo hajajiandaa!!!
Unasema!!!PM mbona ajashiriki meza ya bwana au ndo hajajiandaa!!!
Mvua imeongezeka, Mh. Pinda anahuzunika, sura ameikunja hiyo yani huwezi mtazama mara mbili. Ni huzuni kubwa
Unasema!!!
Namwona Mwigulu Nchemba naye yumo
Mvua imeongezeka, Mh. Pinda anahuzunika, sura ameikunja hiyo yani huwezi mtazama mara mbili. Ni huzuni kubwa
Huyu Padre Deo safi sana !! Kichwa !