Kuagwa kwa Marehemu Dk. Mvungi - ITV

Kuagwa kwa Marehemu Dk. Mvungi - ITV

Amekufa bila wakati wake, lakini ole wake aliyemuua Mtumishi huyu..
 
Kupitia kituo cha Television cha ITV, kazi ya kuagwa kwa gwiji la Sheria na Siasa ndo imeanza muda huu. Tufuatilie...

Kunyesha kwa vua hii kubwa Dar es salaam na maeneo mengi Nchini ni Ishara ya kuwa kifo Chake ni Kama kupanda Mbegu . Itazaa na kutoa mazao mengi zaidi. Ni Aibu kubwa kwa kwa waliomuua huyu mmoja wakati mbengu maelfu kwa maelfu zitameya na kuzaa sana. Amina
 
hata kama nikilowana na mvua yaaana inatiririka balaaaaaaa haijawahi kuonekana,navumilia tu na sitoki hapa mpaka mwisho,RIP Dk S.Mvungi
 
Pumzika kwa amani kazi yako wengi tumeiona na daima tutakukumbuka.
 
Kamanda Kova naye yumo, amevaa kiraia, kweli Mvungi alikuwa mtu wa watu
 
Monsignor Mbiku anatoa ujumbe mzito mzito sana hapa kuhusu kifo na wajibu wetu wa kujiandaa kabla ya kifo.
 
Kila mtu atakufa, mnasikia nyie kina Kova, J.K, Mwigulu na crue yote. Kila mtu atakufa
 
Dah Poleni sana Wafiwa, Pengine asingekuwa Mtaalamu wa Karate na Judo wasingefikia uamuzi wa kumuua wale Maharamia!
 
Back
Top Bottom