min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,241
- 167,387
😅😅😅 mimi nakunywa kidogo tu huyu kazid sasaNdiyo min -me beer 😅😅😅View attachment 3408198
😅😅😅 mimi nakunywa kidogo tu huyu kazid sasaNdiyo min -me beer 😅😅😅View attachment 3408198
Mwamba hapo bila shaka zilizokuwa mgongoni zitakuwa kwa ajili ya kuogea.Ndiyo min -me beer 😅😅😅View attachment 3408198
Angalau Hizi CASTRE LITE na FYINGFISH zinapatikana kiasi lkn sasa hizi nizawadada zaidiNdiyo min -me beer 😅😅😅View attachment 3408198
Wengine tunavibanda umiza mzee,ukizingatia kwa ukanda huu ,huu nimsimu wamavuno watu wanapesa mfukoni kiu inabana kila wakati, kwakweli serikali inakosa mapato hivi hiviWewe shopping yako ni kwa kreti tuu! Kongole.
Tena hiyo BINGWA imekuwa kama bangi utaisaka kwa tochi nawala hutaipata, mtu akikuona nayo anafanya kukushangaa nalazima akuulize umeipata wapiBingwa inazalishwa hapohapo mbeya na haivuki mkoa wa Iringa inacheza nyanda za watu weusi hukohuko zinaadimikaje?
Zingine ni sawa kwa huko zinaadimika sana
Tumeshajizoelea bia zetu pendwa mkuuSi agizeni Carsberg kutoka Malawi jamani!
Hahaaaa, anakuona unamakoneksheniTena hiyo BINGWA imekuwa kama bangi utaisaka kwa tochi nawala hutaipata, mtu akikuona nayo anafanya kukushangaa nalazima akuulize umeipata wapi
Bia za Malawi ni za kimataifa, haya mabia yenu watu wakinywa wanaharisha tuTumeshajizoelea bia zetu pendwa mkuu
Kila mmoja nabia aliyozoea mkuu kuna mwingine ukilazikisha bora bia utamka na heng'over yahatar au kichwa kiume sanaKunyweni bia zilizopo kwanza
Hahahaa imenibidi nicheke kwanzaTena hiyo BINGWA imekuwa kama bangi utaisaka kwa tochi nawala hutaipata, mtu akikuona nayo anafanya kukushangaa nalazima akuulize umeipata wapi
Tena vibaya mno..hapo mwanzo akati huu msoto unaanza tulikuwa namachimbo yakuvumbua vipaji lkn kwasasa hadi hizo chimbo nazo zinatafuta chimbo nakote ngoma ngumuHahaaaa, anakuona unamakoneksheni
Bingwa 🤣🤣🤣 chupa kubwa au ndogo ama zote?Tena hiyo BINGWA imekuwa kama bangi utaisaka kwa tochi nawala hutaipata, mtu akikuona nayo anafanya kukushangaa nalazima akuulize umeipata wapi
Sometimes Bingwa inakua bidhaa adimu hasa kama TBL wanataka kupush kinywaji kingine.Bingwa inazalishwa hapohapo mbeya na haivuki mkoa wa Iringa inacheza nyanda za watu weusi hukohuko zinaadimikaje?
Zingine ni sawa kwa huko zinaadimika sana
Sidhani nina uzoefu mkubwa wa hiki kitu nimefanya kazi na Mzalendo Iringa pale.Sometimes Bingwa inakua bidhaa adimu hasa kama TBL wanataka kupush kinywaji kingine.
Ila hivyo vyote vitatu kutopatikana basi kuna bidhaa wanafosi muiuze walau kidgo.
Ama lah wauzaji wenywewe kwa wenyewe wanafanyiana hujuma ili wauze bei kubwa
Zote..kwanza bingwa ndogo miniliziona maramoja tu mpaka nikashangaa sijui zilikuwa kwenye majaribio izo ndo kabisa sikumbuki mara yamwisho kuziona sokoni ilikuwa liniBingwa 🤣🤣🤣 chupa kubwa au ndogo ama zote?
Hapa kidogo kuna kamwanga nakapata,sasa ndio watulazimishe tunywe tubia twakike eti castle lite na flyng fish ndo angalau zinapatikanaSometimes Bingwa inakua bidhaa adimu hasa kama TBL wanataka kupush kinywaji kingine.
Ila hivyo vyote vitatu kutopatikana basi kuna bidhaa wanafosi muiuze walau kidgo.
Ama lah wauzaji wenywewe kwa wenyewe wanafanyiana hujuma ili wauze bei kubwa
Mkoa wa mara pia Kilimanjaro hazipatikani week ya tatu sasaHabari wakuu!
Ni karibu mwezi wa pili sasa mfululizo, upatikanaji wa bia mkoani Mbeya umekuwa changamoto kubwa. Bia kama Bingwa, Safari, na Kilimanjaro zinapatikana kwa nadra sana. Wenzetu wa TBL Mbeya, tafadhali mtujulishe shida ni nini?
Je, wenzetu wa mikoa mingine mnakumbana na changamoto kama sisi?
Bei kwa Kreti endapo ukizibahatisha:
Sasa hizo bei siyo tatizo sana, shida kubwa ni mzigo kupatikana.
- Bingwa: 27,000 hadi 29,000
- Safari na Kilimanjaro: 37,000 hadi 38,500
Kunyweni hizo muwape faidaHapa kidogo kuna kamwanga nakapata,sasa ndio watulazimishe tunywe tubia twakike eti castle lite na flyng fish ndo angalau zinapatikana