MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 9,314
- 25,454
Mh dada na tarehe hizi nakunywa bia hela naiokotea wapi ? Nipo zangu na master na ulanzi hiyo taarifa nimeisikia kwa boss analalamika kuwa beer hadimu nikaishia kucheka na kusema walau naye aje aonje uchungu wa master mdomoni na kooni .Kaka yangu MENEMENE TEKERI NA PERESI hujalalamika au umehama, umesharudi Dar Upanga? Au unakunywa chui? Nasikia biereee zimehadimika pande hizo.
Cc min -me