Nilikuwa na mpenzi kwa muda wamiaka miwili lakini alikua aniambii ukweli.Siku moja nikaamua kumuuliza hivi nini malego yetu akajibu ninamsichana mwingine tena anarudi hivi karibuni kwahiyo tusitishe mahusiano.Naombeni ushauri wana JF
ulishagegedwa wewe imekula kwako nani kakwambia upanue miguu wakati hujaolewa.
akomae tu najua now atakuwa nalia balaaa ila ndiyo kashaamua tu nenda mwana kwenda
Watu wa namna hii waache waende zao tena kwa wemaa...kuwa muungwana kwake ile mbaya...halafu baadae litakapo geuka huko alipo...akikujia mkubali na wewe muache kama alivyokuacha wewe....Atasikilizia utamu...atalia kuliko wewe
Pole best kubali kabisa kwamba ndiyo mwisho,mshukuru Mungu kwa kukuepusha na janga hilo,sasa jipende mwenyewe sana kuliko ulivyokuwa unajipenda mwanzo,kula vizuri,piga pamba za uhakika,fanya kazi kwa bidii jipe muda mzuri wa kupumzika na ukipumzika usimuwaze kabisa mawazo yakikuzidi jichanganye na watu,fanya ibada sana, Kamwe kamwe usifanye haraka ya kuwa na mpenzi mpya,Mungu akujaze amani na furaha kuu usahau machungu yote
Jifunze kua nao 3 ili mmoja akizingua unakua na wakukufariji nyakati za upweke.
kubali tu yaishe ndiyo viumbe hawa .. wewe hukuona dalili za kuachwa? wala usilazimishe mwache aende tena mwache kabisa wala usijutie hata kidogo mshukuru Mungu kukuepushia ushwetwaini wa huyo mwanaume .....
kuumia itauma ila mwache nasema tena mwacheeee kula raha bibie wala usiwaze....
tena mwambie sikupendi
Jifunze kua nao 3 ili mmoja akizingua unakua na wakukufariji nyakati za upweke.
Duuh ushauri mzito na maneno makali but sadly ndo ukweli huo ambao anatakiwa kuufanyia kazi miss chagga..
Muwe mnatumia vichwa mnapoangukia kwenye mapenzi badala ya mioyo..
nilikuwa najitahidi kuficha ila siku zinavyozuidi kwenda naona unalipuka na unakuja kwa kasi kwa namna navyo yaona maovu yenu yanaongezeka
miaka miwili katembezewa bakora, na anajua kichwa wazi wa jamaa alivyo mkali, leo amuachie kirahisirahisi!!!?
usimshauri mwenzio awe chizi baada ya siku moja
kwan unafikir kuvunjika kwa mahusiano chanzo n mwanaume tu?
kwani ulikua huna kidumu...
kubali tu yaishe ndiyo viumbe hawa .. wewe hukuona dalili za kuachwa? wala usilazimishe mwache aende tena mwache kabisa wala usijutie hata kidogo mshukuru Mungu kukuepushia ushwetwaini wa huyo mwanaume .....
kuumia itauma ila mwache nasema tena mwacheeee kula raha bibie wala usiwaze....
tena mwambie sikupendi
Yeye siyo oxygen wala askuumize kichwa.
kwan unafikir kuvunjika kwa mahusiano chanzo n mwanaume tu?