Habari wakuu,
Mimi sikubaliani na kitendo cha kumuacha mwanamke unayempenda kisa kakulet down au kakukwaza kwa namna moja ama nyingine.
Kila mwanamke ana maudhi yake. Kikibwa na kumchagua mmoja ambaye unaweza vumilia madahifu yake. Hakuna mkamilifu hata mmoja.
Ukisema kila anayekukatisha tamaa unamuacha, utajikuta umetongoza dunia.
Nakubaliana na usemi mwanamke kaa naye kwa akili si kwa maguvu na ubabe. Jifanye mjinga siku ipite. Kumbuka Mke ni baraka na heshima ndani ya nyumba. Tukosoane kwa upendo na heshima. Mia