jangala
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 1,583
- 2,383
We Jua Ndo Hvyo... Mbona mchokonozi Sana ww enh...Una uhakika ndo inavyotafsiri? Waislam wamejiwekea misingi mizuri ya ndoa. Haileti migogoro kama unafuata dini.
Mzee naomba usaidie hapa. Mafundisho yanasemaje?
Haya bac nakupa Talaka 4= Sikutaki ww na ukoo wako na hii thread..
