King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Walidumu ama walivumilia? Na siku hizi magumu ya ndoa hayavumiliki. Mfano uasherati hauvumiliki pia kwa sababu kuna magonjwa. Nyakati zingine hizi mkuu.
Uvumilivu katika ndoa umeenda wapi? Ukiacha huyo utaempata hana mapungufu?
::
Tuvumiliane katika mahusiano,kama kila mmoja atakuwa ktk ndoa mguu mmoja ndani mwingine nje basi huo ni uhusiano wa mashaka.
::
Wazee wetu walidumu ktk mahusiano(ndoa) kwa miaka zaidi ya 30 au 50 haikuwa na maana walikuwa perfect match,la! Walichukuliana mapungufu.
::
Sikubaliani na haka ka mchezo kama kupata na kuacha.Unaweza lamba sumu ukaenda nayo kwa mwingine hatimaye ni janga la maisha.
%