simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,699
- 9,590
He he somo la anatomy naona unalipata live live😉
Vipi kwenye hela?Niko kwa relationship na kaka m1 Mzungu mpk raha. Anacare sana halafu anajitambua sana, anajua anataka nini kwa haya maisha. Kama kuna kitu anasema direct hafichi hayuko mnafki.
Ananisaidia masomo yngu sana sana anatomy. Hata kama kesho akiwa anatakiwa kuwahi kazini lakin nikihitaji anifundishe anaweza kukaa hta mpk saa nane usiku kwa ajili yng. Km nikiwa na exams ananifundisha, tunakuwa tunasoma wote pamoja. Mimi sio msomaji lakin kwa sasa shule yng inaenda sawa.
Halafu anajua sana romance, anajua ku care, anajua kukiss. Kisses ndio ma sickness
Tuna miezi mi4 tu lakin nahisi km nko nae miaka, nimejifunza mambo mengi sana kwake hasa maisha. Nimegundua kudate na mwanaume above 30 ni raha sana kwa sababu anajitambua na ni muelewa sana. Ila tatizo lake moja anataka kujua kila kitu, naongea na nani? Nachat na nani? Nko wapi nafanya nini. Kwa ufupi anataka kujua kla step ninayopiga. Tabia yke hii ya kufuatilia tu ndio siipendi ila sehem nyingine kote yko ok. Nadhani ninemeet na love of ma life![]()
na hio ndio tofauti kati ya sisi wa afrika na watu weupe hakuna wachache sana manamkw au mwanume mweusi anaweza akafanya vitu vyote hivo for love...halafu unajidhihirisha kwamba hupendi kufuatililiwa hivi wewe unamcare mtu kiasi hiko maana yake lazima umfuatilie a cha upumbavu by the way najua ni chai ila badilika acaha tabia za kisawahiliNiko kwa relationship na kaka m1 Mzungu mpk raha. Anacare sana halafu anajitambua sana, anajua anataka nini kwa haya maisha. Kama kuna kitu anasema direct hafichi hayuko mnafki.
Ananisaidia masomo yngu sana sana anatomy. Hata kama kesho akiwa anatakiwa kuwahi kazini lakin nikihitaji anifundishe anaweza kukaa hta mpk saa nane usiku kwa ajili yng. Km nikiwa na exams ananifundisha, tunakuwa tunasoma wote pamoja. Mimi sio msomaji lakin kwa sasa shule yng inaenda sawa.
Halafu anajua sana romance, anajua ku care, anajua kukiss. Kisses ndio ma sickness 😘
Tuna miezi mi4 tu lakin nahisi km nko nae miaka, nimejifunza mambo mengi sana kwake hasa maisha. Nimegundua kudate na mwanaume above 30 ni raha sana kwa sababu anajitambua na ni muelewa sana. Ila tatizo lake moja anataka kujua kila kitu, naongea na nani? Nachat na nani? Nko wapi nafanya nini. Kwa ufupi anataka kujua kla step ninayopiga. Tabia yke hii ya kufuatilia tu ndio siipendi ila sehem nyingine kote yko ok. Nadhani ninemeet na love of ma life 😊
Na Mungu atubariki soteSawa Baba Mchungaji nimekuelewa. Na ninaimani na mleta uzi kakuelewa pia.
Ukidate na mchina tupatie mrejeshoNiko kwa relationship na kaka m1 Mzungu mpk raha. Anacare sana halafu anajitambua sana, anajua anataka nini kwa haya maisha. Kama kuna kitu anasema direct hafichi hayuko mnafki.
Ananisaidia masomo yngu sana sana anatomy. Hata kama kesho akiwa anatakiwa kuwahi kazini lakin nikihitaji anifundishe anaweza kukaa hta mpk saa nane usiku kwa ajili yng. Km nikiwa na exams ananifundisha, tunakuwa tunasoma wote pamoja. Mimi sio msomaji lakin kwa sasa shule yng inaenda sawa.
Halafu anajua sana romance, anajua ku care, anajua kukiss. Kisses ndio ma sickness
Tuna miezi mi4 tu lakin nahisi km nko nae miaka, nimejifunza mambo mengi sana kwake hasa maisha. Nimegundua kudate na mwanaume above 30 ni raha sana kwa sababu anajitambua na ni muelewa sana. Ila tatizo lake moja anataka kujua kila kitu, naongea na nani? Nachat na nani? Nko wapi nafanya nini. Kwa ufupi anataka kujua kla step ninayopiga. Tabia yke hii ya kufuatilia tu ndio siipendi ila sehem nyingine kote yko ok. Nadhani ninemeet na love of ma life![]()
Vipi na yeye akiendelea kuwa na mawasiliano ex wake, utapenda!?Kujua kla ninachofanya sio tatizo. Tatizo kuna muda naona kabisa anataka kunipangia hadi watu wa kuwasiliana nae. Mfano hataki niwasiliana na x boyfriend wangu hta ndugu zake. Wakat anajua kabisa hakuna ktu kitakuja kutokea kati yng na x. Na wala hatuwasiliani mara kwa mara mpk itokee kweli. Kuwasiliana na x inaweza ikawa sio sahihi lakin ndugu au rafiki zake wanahusu nn?
Hiyo Ni Control.Kwanini hutaki ajue kila unachofanya?
Na hiyo ndiyo sifa pekee inayowaangusha wadada wa kiswahili
Sent using Jamii Forums mobile app
Amiin Baba Mchungaji. 🙏