Ku-date Mzungu raha sana

Ku-date Mzungu raha sana

Kwanini hutaki ajue kila unachofanya?
Na hiyo ndiyo sifa pekee inayowaangusha wadada wa kiswahili

Sent using Jamii Forums mobile app

Kujua kla ninachofanya sio tatizo. Tatizo kuna muda naona kabisa anataka kunipangia hadi watu wa kuwasiliana nae. Mfano hataki niwasiliana na x boyfriend wangu hta ndugu zake. Wakat anajua kabisa hakuna ktu kitakuja kutokea kati yng na x. Na wala hatuwasiliani mara kwa mara mpk itokee kweli. Kuwasiliana na x inaweza ikawa sio sahihi lakin ndugu au rafiki zake wanahusu nn?
 
Wanajijua wana Mambo mengi. Kukuamini dada wa kiswahili ni kazi sana. Unaweza ukampaka kila kitu Ila siku ukishika simu yake unaweza jikuta unazimia.
Mimi Sina mambo mengi ila napenda kuwa free sipendi kufatiliwa ati nko na nani nafanya nini? Huwa naona kama kero kwangu
 
Mimi Sina mambo mengi ila napenda kuwa free sipendi kufatiliwa ati nko na nani nafanya nini? Huwa naona kama kero kwangu
Ndio inapaswa uanze kuzoea. Kuna siku utaolewa utakuwa chini ya himaya ya mme wako, ambaye utapaswa kutolea maelezo ya safari zako, ulipo na ufanyalo kwa wakati husika.
 
Mchunguze vizuri, Huyo si mzungu' labda mkongoman kajichubua kapaka na piko ya rangi kichwani. Wazungu culture yao wanapenda kuwa busy, sasa huyo yupo busy anakufuatilia na asubuhi ni bora achelewe kazini kwa ajili yako? Mchunguze huyo dawa za kujichubua ni kali sana siku hizi.
Nimesema anaweza akachelewa kulala Sijasema kuchelewa kazini. Kama akiwa na kazi ya muhimu anaweza hata asilale kabisa mpaka iishe. Jumapili ndio siku yake ya kulala sana. Anaweza akalala aka amka saa nane mchana.
 
Wengi mnaangukiaga kwa vibabu au wazungu vichaa ila all in all hongera maana miezi minne na hawa waasisi wa ndoa za jinsia moja am sure 0712 itakuwa imekula seal zote saizi unamwaga tu oil
Sio babu ni kijana ila tu tumepishana miaka 13
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom