Ku-date Mzungu raha sana

Ku-date Mzungu raha sana

Duuh!! Hivyo hao wengi wote huwa wanadate na wazungu Baba mchungaji?
Mama Mchungaji....
Tupo wanaume wengi wenge upendo wa dhati na tunajali pia (uzungu ni rangi tu).
Lakini hapa naona hoja kubwa nime reflect tabia za wadada wa uswahilini (haijalishi rangi), jinsi wasivyo ridhika na hata kusahau upendo woote wenye wanaupata kisha wanatafuta visingizio kama kwenye uzi unavyo jipambanua...teh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni chai yenye iliki
tapatalk_1577093906393.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama Mchungaji....
Tupo wanaume wengi wenge upendo wa dhati na tunajali pia (uzungu ni rangi tu).
Lakini hapa naona hoja kubwa nime reflect tabia za wadada wa uswahilini (haijalishi rangi), jinsi wasivyo ridhika na hata kusahau upendo woote wenye wanaupata kisha wanatafuta visingizio kama kwenye uzi unavyo jipambanua...teh

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa Baba Mchungaji nimekuelewa. Na ninaimani na mleta uzi kakuelewa pia.
 
Niko kwa relationship na kaka m1 Mzungu mpk raha. Anacare sana halafu anajitambua sana, anajua anataka nini kwa haya maisha. Kama kuna kitu anasema direct hafichi hayuko mnafki.

Ananisaidia masomo yngu sana sana anatomy. Hata kama kesho akiwa anatakiwa kuwahi kazini lakin nikihitaji anifundishe anaweza kukaa hta mpk saa nane usiku kwa ajili yng. Km nikiwa na exams ananifundisha, tunakuwa tunasoma wote pamoja. Mimi sio msomaji lakin kwa sasa shule yng inaenda sawa.

Halafu anajua sana romance, anajua ku care, anajua kukiss. Kisses ndio ma sickness 😘

Tuna miezi mi4 tu lakin nahisi km nko nae miaka, nimejifunza mambo mengi sana kwake hasa maisha. Nimegundua kudate na mwanaume above 30 ni raha sana kwa sababu anajitambua na ni muelewa sana. Ila tatizo lake moja anataka kujua kila kitu, naongea na nani? Nachat na nani? Nko wapi nafanya nini. Kwa ufupi anataka kujua kla step ninayopiga. Tabia yke hii ya kufuatilia tu ndio siipendi ila sehem nyingine kote yko ok. Nadhani ninemeet na love of ma life 😊
ndio mlivyo wabongo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom