steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 11,345
- 13,370
Unauliza makofi polisi??
Niko kwa relationship na kaka m1 Mzungu mpk raha. Anacare sana halafu anajitambua sana, anajua anataka nini kwa haya maisha. Kama kuna kitu anasema direct hafichi hayuko mnafki.
Ananisaidia masomo yngu sana sana anatomy. Hata kama kesho akiwa anatakiwa kuwahi kazini lakin nikihitaji anifundishe anaweza kukaa hta mpk saa nane usiku kwa ajili yng. Km nikiwa na exams ananifundisha, tunakuwa tunasoma wote pamoja. Mimi sio msomaji lakin kwa sasa shule yng inaenda sawa.
Halafu anajua sana romance, anajua ku care, anajua kukiss. Kisses ndio ma sickness
Tuna miezi mi4 tu lakin nahisi km nko nae miaka, nimejifunza mambo mengi sana kwake hasa maisha. Nimegundua kudate na mwanaume above 30 ni raha sana kwa sababu anajitambua na ni muelewa sana. Ila tatizo lake moja anataka kujua kila kitu, naongea na nani? Nachat na nani? Nko wapi nafanya nini. Kwa ufupi anataka kujua kla step ninayopiga. Tabia yke hii ya kufuatilia tu ndio siipendi ila sehem nyingine kote yko ok. Nadhani ninemeet na love of ma life![]()
Baba mchungaji hivi wanawake ni wingi ama umoja? 😎
🤣🤣🤣🤣🤣 eti hataki kufuatiliwa, Inshort wanawake wenye tabia hio wanataka wanaume mazuzu ili wafanye umalaya kwa raha. Unakatazwa usishike simu yake ili ushenzi anaofanya usiujue.Kwanini hutaki ajue kila unachofanya?
Na hiyo ndiyo sifa pekee inayowaangusha wadada wa kiswahili
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi,umempokea Yesu kama Bwana na mwokozi wa maisha yako?Niko kwa relationship na kaka m1 Mzungu mpk raha. Anacare sana halafu anajitambua sana, anajua anataka nini kwa haya maisha. Kama kuna kitu anasema direct hafichi hayuko mnafki.
Ananisaidia masomo yngu sana sana anatomy. Hata kama kesho akiwa anatakiwa kuwahi kazini lakin nikihitaji anifundishe anaweza kukaa hta mpk saa nane usiku kwa ajili yng. Km nikiwa na exams ananifundisha, tunakuwa tunasoma wote pamoja. Mimi sio msomaji lakin kwa sasa shule yng inaenda sawa.
Halafu anajua sana romance, anajua ku care, anajua kukiss. Kisses ndio ma sickness
Tuna miezi mi4 tu lakin nahisi km nko nae miaka, nimejifunza mambo mengi sana kwake hasa maisha. Nimegundua kudate na mwanaume above 30 ni raha sana kwa sababu anajitambua na ni muelewa sana. Ila tatizo lake moja anataka kujua kila kitu, naongea na nani? Nachat na nani? Nko wapi nafanya nini. Kwa ufupi anataka kujua kla step ninayopiga. Tabia yke hii ya kufuatilia tu ndio siipendi ila sehem nyingine kote yko ok. Nadhani ninemeet na love of ma life![]()
Uyu Dada atakuwa ni muhaya tu!Niko kwa relationship na kaka m1 Mzungu mpk raha. Anacare sana halafu anajitambua sana, anajua anataka nini kwa haya maisha. Kama kuna kitu anasema direct hafichi hayuko mnafki.
Ananisaidia masomo yngu sana sana anatomy. Hata kama kesho akiwa anatakiwa kuwahi kazini lakin nikihitaji anifundishe anaweza kukaa hta mpk saa nane usiku kwa ajili yng. Km nikiwa na exams ananifundisha, tunakuwa tunasoma wote pamoja. Mimi sio msomaji lakin kwa sasa shule yng inaenda sawa.
Halafu anajua sana romance, anajua ku care, anajua kukiss. Kisses ndio ma sickness 😘
Tuna miezi mi4 tu lakin nahisi km nko nae miaka, nimejifunza mambo mengi sana kwake hasa maisha. Nimegundua kudate na mwanaume above 30 ni raha sana kwa sababu anajitambua na ni muelewa sana. Ila tatizo lake moja anataka kujua kila kitu, naongea na nani? Nachat na nani? Nko wapi nafanya nini. Kwa ufupi anataka kujua kla step ninayopiga. Tabia yke hii ya kufuatilia tu ndio siipendi ila sehem nyingine kote yko ok. Nadhani ninemeet na love of ma life 😊
Kwa wahindi hapana aise!! Hakuna mzuri hata mmoja wote ni walewaleKwahiyo unaamini kua wazungu wote wana tabia kama ya huyo mzungu wako mpaka wewe kufikia conclusion ya kusema "Kudate mzungu raha sana''?
Hiyo ni tabia ya mtu tu wala haihusiani na race ya mtu,unaweza pata Mchina,muhindi,mwafrika au yeyote yule na akawa bora pia,kila jamii ina watu wazuri na watu wabaya.
Umezidisha mdalasini hebu weka cocoa na tangawizi kuongeza ukakasiNiko kwa relationship na kaka m1 Mzungu mpk raha. Anacare sana halafu anajitambua sana, anajua anataka nini kwa haya maisha. Kama kuna kitu anasema direct hafichi hayuko mnafki.
Ananisaidia masomo yngu sana sana anatomy. Hata kama kesho akiwa anatakiwa kuwahi kazini lakin nikihitaji anifundishe anaweza kukaa hta mpk saa nane usiku kwa ajili yng. Km nikiwa na exams ananifundisha, tunakuwa tunasoma wote pamoja. Mimi sio msomaji lakin kwa sasa shule yng inaenda sawa.
Halafu anajua sana romance, anajua ku care, anajua kukiss. Kisses ndio ma sickness 😘
Tuna miezi mi4 tu lakin nahisi km nko nae miaka, nimejifunza mambo mengi sana kwake hasa maisha. Nimegundua kudate na mwanaume above 30 ni raha sana kwa sababu anajitambua na ni muelewa sana. Ila tatizo lake moja anataka kujua kila kitu, naongea na nani? Nachat na nani? Nko wapi nafanya nini. Kwa ufupi anataka kujua kla step ninayopiga. Tabia yke hii ya kufuatilia tu ndio siipendi ila sehem nyingine kote yko ok. Nadhani ninemeet na love of ma life 😊
Mama Mchungaji, ukweli tupo nao wengi kama yeye hapa kwenye ibadaBaba mchungaji hivi wanawake ni wingi ama umoja?![]()
Duuh!! Hivyo hao wengi wote huwa wanadate na wazungu Baba mchungaji? 😎😎Mama Mchungaji, ukweli tupo nao wengi kama yeye hapa kwenye ibada
Sent using Jamii Forums mobile app