Ku-date Mzungu raha sana

Ku-date Mzungu raha sana

hajaomba tigo?
Niko kwa relationship na kaka m1 Mzungu mpk raha. Anacare sana halafu anajitambua sana, anajua anataka nini kwa haya maisha. Kama kuna kitu anasema direct hafichi hayuko mnafki.

Ananisaidia masomo yngu sana sana anatomy. Hata kama kesho akiwa anatakiwa kuwahi kazini lakin nikihitaji anifundishe anaweza kukaa hta mpk saa nane usiku kwa ajili yng. Km nikiwa na exams ananifundisha, tunakuwa tunasoma wote pamoja. Mimi sio msomaji lakin kwa sasa shule yng inaenda sawa.

Halafu anajua sana romance, anajua ku care, anajua kukiss. Kisses ndio ma sickness

Tuna miezi mi4 tu lakin nahisi km nko nae miaka, nimejifunza mambo mengi sana kwake hasa maisha. Nimegundua kudate na mwanaume above 30 ni raha sana kwa sababu anajitambua na ni muelewa sana. Ila tatizo lake moja anataka kujua kila kitu, naongea na nani? Nachat na nani? Nko wapi nafanya nini. Kwa ufupi anataka kujua kla step ninayopiga. Tabia yke hii ya kufuatilia tu ndio siipendi ila sehem nyingine kote yko ok. Nadhani ninemeet na love of ma life

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo unaamini kua wazungu wote wana tabia kama ya huyo mzungu wako mpaka wewe kufikia conclusion ya kusema "Kudate mzungu raha sana''?

Hiyo ni tabia ya mtu tu wala haihusiani na race ya mtu,unaweza pata Mchina,muhindi,mwafrika au yeyote yule na akawa bora pia,kila jamii ina watu wazuri na watu wabaya.
 
Kwanini hutaki ajue kila unachofanya?
Na hiyo ndiyo sifa pekee inayowaangusha wadada wa kiswahili

Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣 eti hataki kufuatiliwa, Inshort wanawake wenye tabia hio wanataka wanaume mazuzu ili wafanye umalaya kwa raha. Unakatazwa usishike simu yake ili ushenzi anaofanya usiujue.

Mwanaume awe muaminifu yeye akitongozwa pembeni basi akapigwe mashine kimya kimya bila kidume chake kujua. Hapo kwa mzungu atafua dafu maana wazungu wanataka mtu muaminifu daima.
 
Niko kwa relationship na kaka m1 Mzungu mpk raha. Anacare sana halafu anajitambua sana, anajua anataka nini kwa haya maisha. Kama kuna kitu anasema direct hafichi hayuko mnafki.

Ananisaidia masomo yngu sana sana anatomy. Hata kama kesho akiwa anatakiwa kuwahi kazini lakin nikihitaji anifundishe anaweza kukaa hta mpk saa nane usiku kwa ajili yng. Km nikiwa na exams ananifundisha, tunakuwa tunasoma wote pamoja. Mimi sio msomaji lakin kwa sasa shule yng inaenda sawa.

Halafu anajua sana romance, anajua ku care, anajua kukiss. Kisses ndio ma sickness

Tuna miezi mi4 tu lakin nahisi km nko nae miaka, nimejifunza mambo mengi sana kwake hasa maisha. Nimegundua kudate na mwanaume above 30 ni raha sana kwa sababu anajitambua na ni muelewa sana. Ila tatizo lake moja anataka kujua kila kitu, naongea na nani? Nachat na nani? Nko wapi nafanya nini. Kwa ufupi anataka kujua kla step ninayopiga. Tabia yke hii ya kufuatilia tu ndio siipendi ila sehem nyingine kote yko ok. Nadhani ninemeet na love of ma life
Vipi,umempokea Yesu kama Bwana na mwokozi wa maisha yako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko kwa relationship na kaka m1 Mzungu mpk raha. Anacare sana halafu anajitambua sana, anajua anataka nini kwa haya maisha. Kama kuna kitu anasema direct hafichi hayuko mnafki.

Ananisaidia masomo yngu sana sana anatomy. Hata kama kesho akiwa anatakiwa kuwahi kazini lakin nikihitaji anifundishe anaweza kukaa hta mpk saa nane usiku kwa ajili yng. Km nikiwa na exams ananifundisha, tunakuwa tunasoma wote pamoja. Mimi sio msomaji lakin kwa sasa shule yng inaenda sawa.

Halafu anajua sana romance, anajua ku care, anajua kukiss. Kisses ndio ma sickness 😘

Tuna miezi mi4 tu lakin nahisi km nko nae miaka, nimejifunza mambo mengi sana kwake hasa maisha. Nimegundua kudate na mwanaume above 30 ni raha sana kwa sababu anajitambua na ni muelewa sana. Ila tatizo lake moja anataka kujua kila kitu, naongea na nani? Nachat na nani? Nko wapi nafanya nini. Kwa ufupi anataka kujua kla step ninayopiga. Tabia yke hii ya kufuatilia tu ndio siipendi ila sehem nyingine kote yko ok. Nadhani ninemeet na love of ma life 😊
Uyu Dada atakuwa ni muhaya tu!
Maana ndo zenu izo" mpige na agenda igeruke"
 
Kwahiyo unaamini kua wazungu wote wana tabia kama ya huyo mzungu wako mpaka wewe kufikia conclusion ya kusema "Kudate mzungu raha sana''?

Hiyo ni tabia ya mtu tu wala haihusiani na race ya mtu,unaweza pata Mchina,muhindi,mwafrika au yeyote yule na akawa bora pia,kila jamii ina watu wazuri na watu wabaya.
Kwa wahindi hapana aise!! Hakuna mzuri hata mmoja wote ni walewale
 
Niko kwa relationship na kaka m1 Mzungu mpk raha. Anacare sana halafu anajitambua sana, anajua anataka nini kwa haya maisha. Kama kuna kitu anasema direct hafichi hayuko mnafki.

Ananisaidia masomo yngu sana sana anatomy. Hata kama kesho akiwa anatakiwa kuwahi kazini lakin nikihitaji anifundishe anaweza kukaa hta mpk saa nane usiku kwa ajili yng. Km nikiwa na exams ananifundisha, tunakuwa tunasoma wote pamoja. Mimi sio msomaji lakin kwa sasa shule yng inaenda sawa.

Halafu anajua sana romance, anajua ku care, anajua kukiss. Kisses ndio ma sickness 😘

Tuna miezi mi4 tu lakin nahisi km nko nae miaka, nimejifunza mambo mengi sana kwake hasa maisha. Nimegundua kudate na mwanaume above 30 ni raha sana kwa sababu anajitambua na ni muelewa sana. Ila tatizo lake moja anataka kujua kila kitu, naongea na nani? Nachat na nani? Nko wapi nafanya nini. Kwa ufupi anataka kujua kla step ninayopiga. Tabia yke hii ya kufuatilia tu ndio siipendi ila sehem nyingine kote yko ok. Nadhani ninemeet na love of ma life 😊
Umezidisha mdalasini hebu weka cocoa na tangawizi kuongeza ukakasi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom